Mshahara wa mwezi Septemba kwa Watumishi wa Umma...

Hakuna mtu au waziri simpendi kama huyu mama Wa utumishi. Huyu mama alipoulizwa bungeni kuhusu ongezeko la mishahara alikuja na mbwembwe nyingi kusoma matrioni ya pesa na kusema serikali itaongeza mshahara. Miezi imepita hakuna la nyongeza yeyote. Hivi huyu mama anaona watumishi ni vikaragosi kila siku kuwahadaa kwa majibu yake ambayo hayatekelezeki.

Bunge la mwisho hivyo hivyo akaulizwa na akaja na majibu Yale Yale na ahadi ya increment mwisho wa mwezi huu. Mshahara umetoka lakini hakuna chochote zaidi ya kuwaongezea hasira watumishi.

Akiwa anajibu hoja anakuja na majibu yenye mihemko lakini mwisho ya siku hakuna linalotokea. Hivi hawa wanahitaji watumishi waandamane ndio wajue watu wamechoka ahadi amabazo zilitakiwa zitekelezwe bila hata ya kutokea adha yeyote. Hivi hata hizi increments ambazo ni haki ya mtumishi nazo kuzipata mpaka watu wagome.

Serikali hii iliahidi kutatua kero za watumishi ila imeshindwa zaidi imezidi kuongeza matatizo na kupunguza ari ya watumishi kufanya kazi. Wameongeza 15% na hii imekuwa ni tatizo ukizingatia kuwa mishahara yenyewe ni duni.

Mpaka hapa hii inaashiria kuwa serikali hii haiwezi tatua matatizo ya wananchi wake . Ikiwa imeshindwa kutatua matatizo ya watumishi ambao hawafikii hata robo ya watanzia VIP itaweza tatua matatizo ya watanzania zaidi ya million 50.

Tuikatae na tuiendele kuipiga vita mpaka mwisho. OVER
Pole mkuu umeandika kwa uchungu sana
 
Hakuna mtu au waziri simpendi kama huyu mama Wa utumishi. Huyu mama alipoulizwa bungeni kuhusu ongezeko la mishahara alikuja na mbwembwe nyingi kusoma matrioni ya pesa na kusema serikali itaongeza mshahara. Miezi imepita hakuna la nyongeza yeyote. Hivi huyu mama anaona watumishi ni vikaragosi kila siku kuwahadaa kwa majibu yake ambayo hayatekelezeki.

Bunge la mwisho hivyo hivyo akaulizwa na akaja na majibu Yale Yale na ahadi ya increment mwisho wa mwezi huu. Mshahara umetoka lakini hakuna chochote zaidi ya kuwaongezea hasira watumishi.

Akiwa anajibu hoja anakuja na majibu yenye mihemko lakini mwisho ya siku hakuna linalotokea. Hivi hawa wanahitaji watumishi waandamane ndio wajue watu wamechoka ahadi amabazo zilitakiwa zitekelezwe bila hata ya kutokea adha yeyote. Hivi hata hizi increments ambazo ni haki ya mtumishi nazo kuzipata mpaka watu wagome.

Serikali hii iliahidi kutatua kero za watumishi ila imeshindwa zaidi imezidi kuongeza matatizo na kupunguza ari ya watumishi kufanya kazi. Wameongeza 15% na hii imekuwa ni tatizo ukizingatia kuwa mishahara yenyewe ni duni.

Mpaka hapa hii inaashiria kuwa serikali hii haiwezi tatua matatizo ya wananchi wake . Ikiwa imeshindwa kutatua matatizo ya watumishi ambao hawafikii hata robo ya watanzia VIP itaweza tatua matatizo ya watanzania zaidi ya million 50.

Tuikatae na tuiendele kuipiga vita mpaka mwisho. OVER

Pole sana mtumishi mwenzangu naona umeandika ukiwa na uchungu kweli,ukweli tatizo linaanzia kwetu watumishi kwa kukubali kuburuzwa na muajiri wetu (serikali) na tumekaa tukitazama tu bila kujua kesho yetu.
Watumishi tukikosea mara zote muajiri anatuadhibu bila kusita ila yeye anakosea kwa miaka miwili sasa ila sisi tunaishia kutoa lawama kwenye mitandao ya kijamii tu,nilishawahi kusema hili kua tulipofikia tusijifanye WAZALENDO kwa Taifa hili ni uwendawazimu kujitoa na kufanya kazi kwa bidii kama hakuna anaejali maslahi yetu nawakumbusha kua tuna familia zinatutegemea tukiendekeza uzalendo tutawaacha masikini ni wakati sasa wa kumuwajibisha muajiri kwa vitendo sio maneno TUFANYE KAZI KADRI TUNAVYOLIPWA tusiwe waoga na hapo ulipo muibie tu muajiri hata MUDA tu inatosha maana anavyotuburuza alafu anapata matokeo chanya hashtuki ila anajisifia kua inawezekana uku kwetu nashukuru hata wale waliokua wanoko wamenyooka sasa tumekua kitu kimoja na tunapambana na adui yetu pamoja honestly sioni maumivu ya udhalimu wa muajiri kwa kua najua wapi nafidia.
 
aise kiukweli inauma sana ,kuona watumishi wanavyoteseka namna hii.
hela kwa mheshimiwa imekuwa ngum kutoka sijui kwanini!?
 
Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana. Kuna kakikundi ka watu ndo kameifanya Tanzania yakwao.Wananeemeka na kila kitu.
Katiba si suluhisho pekee la matatizo ya watanzania, bado kuna kundi kubwa la watanzania wasiojitambua (elimu-less) na hawa ndio mtaji wa watawala, hufanya wanayojiskia wao huku wakiwa na uhakika wa kurudi madarakani bila kukataliwa.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom