[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji32]Tayari kwa wateja wa NMB
View attachment 2091811
Kwani ukisema ni wewe unausuburia mishahara wako kuna ubaya gani?Waungwana naomba kuuliza mwenye taarifa za salary ya.mwezi huu km imetoka kuna mtu namdai hapa
Watu wanaona aibu kuonekana Hengaya ndiyo anamlishaKwani ukisema ni wewe unausuburia mishahara wako kuna ubaya gani?
Bado wewe, nimetoka bank mida hiiWa NMB tayari
Zinaingia Kwa awamu may beBado ww, nimetoka bank mida hii
Leo asubuhi nilichukua mshahara wa mwezi wa kwanza maeneo ya Posta, huwezi kuamini mpaka saa nane nipo city garden umekwisha pyuuu niko na Kadogoo Manka katoka Rombo.Waungwana naomba kuuliza mwenye taarifa za salary ya.mwezi huu km imetoka kuna mtu namdai hapa
Duh mkuu umechukua mshahara leo umemaliza leo?Leo asubuhi nilichukua mshahara wa mwezi wa kwanza maeneo ya Posta, huwezi kuamini mpaka saa nane nipo city garden umekwisha pyuuu niko na Kadogoo Manka katoka Rombo.
Nimetoka bank kwenye saa kumi kasoro sijakuta mpungaZinaingia Kwa awamu may be
we noma mshahara wa mwezi unaisha kwa siku na hapo hujarudi nyumbani badoLeo asubuhi nilichukua mshahara wa mwezi wa kwanza maeneo ya Posta, huwezi kuamini mpaka saa nane nipo city garden umekwisha pyuuu niko na Kadogoo Manka katoka Rombo.
Duh mkuu umechukua mshahara leo umemaliza leo?
Hata 200,000/- ni mshahara 😎we noma mshahara wa mwezi unaisha kwa siku na hapo hujarudi nyumbani bado
200,000/- anatakiwa kuwa na nidhamu ya pesa ya kiwango cha juu otherwise ni majanga.Hata 200,000/- ni mshahara 😎
Ingetakiwa iwe mshahara wa shiling ngapi ili nidhamu isiwe ya kiwango Cha juu?200,000/- anatakiwa kuwa na nidhamu ya pesa ya kiwango cha juu otherwise ni majanga.
BukuIngetakiwa iwe mshahara wa shiling ngapi ili nidhamu isiwe ya kiwango Cha juu?
Huwezi ishi kwa mshahara mshahara ni wa kukopeaLeo asubuhi nilichukua mshahara wa mwezi wa kwanza maeneo ya Posta, huwezi kuamini mpaka saa nane nipo city garden umekwisha pyuuu niko na Kadogoo Manka katoka Rombo.