Mshahara wa muhasibu CRDB kwa degree bila CPA

Humu propaganda nyingi,
Mimi nipo CRDB,the guess work inside here is shocking.
Nimeanza kazi tu na Gross ya 1.08m
Tusibishane
Mkuu, mpaka unafanya kazi crdb, bila shaka umetumia miaka kama 16 shuleni, ukiwa unakomaa na shule, huku familia yako ikiwekeza ela flan kwako ( ada)...

Nikijaribu kukutazama katika kona ya kibiashara, nakutazama kama biashara iliyopiganiwa kwa miaka 16 bila kuleta return yoyote mpaka ulipofika mwaka wa 16.... mwaka wa 16 biashara ndo imeanza kutulipa, inaleta 1.08 M per month.

Najaribu kufikiria kwa sauti, hivi ela yako uliyoitumia kusoma kipind chooote plus mda wako, itarud baada ya mda gan? Au tuliwekeza kwenye biashara ambayo hatukutegemea irudishe ela na faida juu...

Lakin pia, ungeamua kuokoa mda, ukapewa robo ya kias cha ela uliyotumia kusoma... pale ulipofika darasa la 7, leo hii husingeweza kumiliki kipato mara nne ya hiko, tena kwa investment ndogo kuanzia mda had fedha...

Samahani sana aisee, nimetoka nje ya mada, ila umeniwazisha sana aisee, na hiyo tusibishane yako uliyoiweka mwsho, imenionyesha ni furaha kiasi gan uliyonayo kuwa usain bolt wa ndoto za watu.
 
I do say, kazi ya kuajiliwa ni utumwa wa kiuchimi. Kuna std 7 drop out anauza chips Kimara mwisho hupata profit per day after paying his workers, rent etc hubakiza laki moja. Kwa mwezi ml 3 ww na digrii yako laki 4?

Kauze na wewe sasa
 
ha ha ha kaka sepa fasta hela ndogo sana hiyo kwa mwanaume.. kama ni mwanamke komaa na job.. ila kama ni wa kiume.. ni hatari sana.. maisha mazuri utayaona kwa jirani

Humu propaganda nyingi,
Mimi nipo CRDB,the guess work inside here is shocking.
Nimeanza kazi tu na Gross ya 1.08m
Tusibishane
 
Humu propaganda nyingi,
Mimi nipo CRDB,the guess work inside here is shocking.
Nimeanza kazi tu na Gross ya 1.08m
Tusibishane

Huyu anaeuliza swali ni mhasibu hana CPA (japo upinzani umeibuka kuhusu uhasibu wake), anachotaka yeye ni kujua mshahara wa mwajiriwa mwenye hizo sifa CRDB.
 
ha ha ha kaka sepa fasta hela ndogo sana hiyo kwa mwanaume.. kama ni mwanamke komaa na job.. ila kama ni wa kiume.. ni hatari sana.. maisha mazuri utayaona kwa jirani

Mkuu wewe unaingiza ngapi kwa mwezi?
 
ha ha ha kaka sepa fasta hela ndogo sana hiyo kwa mwanaume.. kama ni mwanamke komaa na job.. ila kama ni wa kiume.. ni hatari sana.. maisha mazuri utayaona kwa jirani
...unajitia dole afu unajichekesha mbele ya wanaume,
..mtoto choroko kweli wewe!
 
ungekuwa una akili kabla hujatukana humu kijinga.. ungeangalia kazini kwako staff gani wengi kati ya wanaume na wanawake.. ungejua kama hizo income za wanawake au wanaume.. sababu mjinga unajisifia kulipwa gross 1m ambayo net ni less than laki 7.. ambayo ni kama elfu 20 kwa siku.. kuna baadhi ya majukumu ni ya kina dada mwanaume sio ya kujisifia nayo... hata kama unafanya kwa njaa inapaswa ujifiche kwa aibu sio ujisifie nayo.. hiyo hela upange nyumba, ujenge, ulee mke na watoto si utaongea mwenyewe kwa uchizi.. ndio maana nikasema kama wewe ni wa kike ni fair ila kama wa kiume sio sawa..

...unajitia dole afu unajichekesha mbele ya wanaume,
..mtoto choroko kweli wewe!
 
siwezi kusema hapa ila ni zaidi ya hiyo

Umenena vema, huyo wa 1.08M kwa mwezi kawaacha wengj sana, kjna wengine hawafikishi hata 500k kwa mwezi, hali kadhalika kuna wengine wanatengeneza pesa ndefu kuliko mimi, wewe na huyo jamaa yetu Old Skuli lakini bado hawajakejeli hiyo pesa.

Kila kitu kina hatua na hatuendi sawasawa kwa wakati mmoja. Ndio maana kuna watoto, vijana, watu wa makamo na wazee. Ni suala la muda tu na mipango.
 
mi nilichocheka ni kujisifia eti crdb tunaanza milion moja na elfu 80 gross.. nikashangaa hiyo ni hela ya kujisifia kweli..

mke wangu anafanya nmb ana muda kidogo anapata zaidi ya hiyo ila anajua ni hela mbuzi sana hawezi jisifia nayo.. akiona wanaume hela tunazotengeneza.. anasemaga kweli kazi za benki ni za kike ndio maana mishahara imewekwa midogo


Umenena vema, huyo wa 1.08M kwa mwezi kawaacha wengj sana, kjna wengine hawafikishi hata 500k kwa mwezi, hali kadhalika kuna wengine wanatengeneza pesa ndefu kuliko mimi, wewe na huyo jamaa yetu wa 1.08M lakini bado hawajakejeli hiyo pesa.

Kila kitu kina hatua na hatuendi sawasawa kwa wakati mmoja. Ndio maana kuna watoto, vijana, watu wa makamo na wazee. Ni suala la muda tu na mipango.
 
mi nilichocheka ni kujisifia eti crdb tunaanza milion moja na elfu 80 gross.. nikashangaa hiyo ni hela ya kujisifia kweli..

mke wangu anafanya nmb ana muda kidogo anapata zaidi ya hiyo ila anajua ni hela mbuzi sana hawezi jisifia nayo.. akiona wanaume hela tunazotengeneza.. anasemaga kweli kazi za benki ni za kike ndio maana mishahara imewekwa midogo

Kwani hoja ya msingi kwenye huu uzi ni ipi mkuu? Naweza kusema hilo ni jibu sahihi miongoni mwa majibu yaliyohitajika kwa muktadha wa huu uzi.
 
Humu wengi wanaongea tu lkn in real sense choka mbaya hatari.
Na nieleweke pia,sikutaja hiyo figure kujisifia bali nilitaka kuzima propaganda za kila mtu anataja figure anayoijua yeye wakati ht hajawah fanya kazi hapa.
Pili,hio kitu bdo nilianza nayo mara tu baada ya kuajiriwa,hujui leo nipo level gani na nnapokea kiasi gani.
Lots of muppets humu
 
mi nilichocheka ni kujisifia eti crdb tunaanza milion moja na elfu 80 gross.. nikashangaa hiyo ni hela ya kujisifia kweli..

mke wangu anafanya nmb ana muda kidogo anapata zaidi ya hiyo ila anajua ni hela mbuzi sana hawezi jisifia nayo.. akiona wanaume hela tunazotengeneza.. anasemaga kweli kazi za benki ni za kike ndio maana mishahara imewekwa midogo

Mkuu kuna sehemu yoyote nimejisifia au nilikuwa nahabarisha?

Elimu Elimu Elimu
 
Mkuu, mpaka unafanya kazi crdb, bila shaka umetumia miaka kama 16 shuleni, ukiwa unakomaa na shule, huku familia yako ikiwekeza ela flan kwako ( ada)...

Nikijaribu kukutazama katika kona ya kibiashara, nakutazama kama biashara iliyopiganiwa kwa miaka 16 bila kuleta return yoyote mpaka ulipofika mwaka wa 16.... mwaka wa 16 biashara ndo imeanza kutulipa, inaleta 1.08 M per month.

Najaribu kufikiria kwa sauti, hivi ela yako uliyoitumia kusoma kipind chooote plus mda wako, itarud baada ya mda gan? Au tuliwekeza kwenye biashara ambayo hatukutegemea irudishe ela na faida juu...

Lakin pia, ungeamua kuokoa mda, ukapewa robo ya kias cha ela uliyotumia kusoma... pale ulipofika darasa la 7, leo hii husingeweza kumiliki kipato mara nne ya hiko, tena kwa investment ndogo kuanzia mda had fedha...

Samahani sana aisee, nimetoka nje ya mada, ila umeniwazisha sana aisee, na hiyo tusibishane yako uliyoiweka mwsho, imenionyesha ni furaha kiasi gan uliyonayo kuwa usain bolt wa ndoto za watu.
Hivi wote walioishia darasa la saba wanapata mara 4 ya hiyo ?
 
Back
Top Bottom