Mshahara wa muhasibu CRDB kwa degree bila CPA

Kijana huna unachokifahamu kuhusu CPA rudi kwa mjomba ako akuelezee vizuri... naona unabisha ujinga tuu humu... narudia tena sina tiba ya kukutibu moja kwa moja zaid ya kukurudisha kwa mjomba aliyekukaririsha akakuelezee vizur.
Asee hujanielewa.. hapo nilikiwa namaanisha kwamba hata kama una degree ya Law.. ili iweze kupata CPA (T) yakupasa uanzia foundation huko.. na kwa kufanya hivyo maana yake ni kwamba inabadili carrier yako na kuingia ktk uhasibu.. hapo utakuwa na ujuzi wa aina mbili.. uhasibu na Law.. lkn hadi upate CPA utakuwa tayari umeshaingia ktk uhasibu..
 
Asee hujanielewa.. hapo nilikiwa namaanisha kwamba hata kama una degree ya Law.. ili iweze kupata CPA (T) yakupasa uanzia foundation huko.. na kwa kufanya hivyo maana yake ni kwamba inabadili carrier yako na kuingia ktk uhasibu.. hapo utakuwa na ujuzi wa aina mbili.. uhasibu na Law.. lkn hadi upate CPA utakuwa tayari umeshaingia ktk uhasibu..
Msalimie mjomba
 
Uzi umeuliza mshahara...ila sasa umetekwa na mabishano na majingambo ya "wasomi" .....nafikiri aliyeuliza swali anashangaa tuu
 
Upo 100% , kutoka field yoyote CPA unasoma na unaipata , tofauti na wale wa degree ya accounts wewe wa elimu tofauti utatakiwa kuanzia chini ... Ila mwisho wote mtapata CPA ile ile
Sio rahisi kivyoo! Module zimeongezeka sana saivi!
 
Hahaah uzi umevamiwa na wasomi wenye elimu nyingi halafu hela hawana...nasoma comment nacheka tu
 
Haiwezekani usijidanganye... CERTIFIED PUBLIC ACCOUNTANT... ingia hapo NBAA uone masharti yake kwa ujumla.... kama unataka uanzie chini na ni lazma uwe na certificate ya accounting, banking, commerce au auditing.....
Overrrrrrrrr....
FANI ZA WATU HIZO... OOOOOH MTAUMIA.... NI SAWA NA MHASIBU AJISAJILI NA BODI YA WAANDISI AU CHAMA CHA MADAKTARIIIIII... NASISITIZA HAIWEZEKANI NA MSIDANGANYANEEEEE...
acha uongo

mm nimemaliza B.A in economics nilipata auditin firm bt kule ni lazma uwe na either cpa au ile ya africa
bt ili kupata cpa nimeanzia chin kabsa foundation ndo baadae nikaungana na hao wenye bachelor za accounts mwisho we all had the same CPA

mind u huku auditin wanachukua hadi engineerin nao wote wanaspecialize
 
Mbona walimu wanasavaivu chini ya hapo?advantage wanayoipata hao jamaa wanaoajiriwa bank ni kupata viposho vya mara kwa mara na kukopeshwa bila riba.Mwalimu anabaki na hiyo hiyo hadi mwisho wa mwezi mwingine.
nani kakwambia wanakopeshwa bila riba? wanapigwa na riba kudaadeki zao japo ni nafuu
 
CRDB ni 1.3m gross salary... ukiwa intrm unalipwa 500k bila makato.... kama unataka kufanya kazi nenda bro.. kuna miezi kama mi3 hadi m5 ya matazamio then ajira ya moja kwa moja..
intern kuna makato sikuhizi, akajaribu kweli.ila inaweza chukua mda mpaka wakuajiri moja kwa moja
 
mbona yupo sawa
Kweli yupo sawa, ila ungefatilia tangu mwanzo ubish wetu ungenielewa...

Mwanzo alikuwa anajikanyaga, ikabid nimuagize kwa mjomba ake akamuulize, aliporud mara ya pili akajieleza vizuri, nikajua fika yupo ameshaenda kwa mjomba kuuliza.... na sahiv bdo wapo wote, ndo nikatumia fursa hii kutuma salam zangu kwa mjomba.
 
NDIO MAANA NIKIENDA KUWEKA HELA WANATOA JICHO HIVYO.KUMBE WANALIPWA KIDUCHU HIVYO WAKATI WANAZIANGALIA HELA KILA SKU
 
Humu propaganda nyingi,
Mimi nipo CRDB,the guess work inside here is shocking.
Nimeanza kazi tu na Gross ya 1.08m
Tusibishane
 
Back
Top Bottom