Hawa jamaa wa utumishi mbona hawaaprove promotion zetu, kila kitu kimeshakuwa uploaded kwenye system ya Lawson yaani issue iliyobaki ni kuclick button ya approve tu nayo imekuwa ni tatizo kweli....au hela hakuna huko hazina maana Sizonje alishatoa go ahead. Me nilitegemea mwezi huu mpunga uongezeka ila napokea sms toka bank hapa ila hola hamna ongezeko nimemind saaana hata hizi sikukuu hazina maana kwangu. Pumbafùuuuu.
Mimi nilikua mhongaji haswaa ila nina miaka miwili ivi nimeugua sana ivyo nina allergy ya kuhonga yaani nikishika tu wallet nitoe mzigo basi miguu inavimba,kifua kinabana na moyo unaenda mbio sanaaaaa
Wale wajinga wasiojua, tajiri Bakhresa ana mshahara. Anafanya biashara zake na anajilipa mshahara. Ili biashara zake ziende, lazima ajiri watu, tena wengi tu. Hao wanalipwa mishahara.
Biashara ya mtu mmoja bila kuajiriwa mara nyingi ni uchuzi tu.
Hakuna namna ambayo kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara asiyetegemea mshahara. Hiyo nchi haipo duniani. Labda kule Mars!
Kwa hiyo tuende na ice cream tuuze tukiwa kazini kazini!!! Hujitambui na hujui maadili Kazi.!!! Mshahara siyo hisani. Kwani sikukuu si ilijulikana utakuwa lini!
Kwa hiyo tuende na ice cream tuuze tukiwa kazini kazini!!! Hujitambui na hujui maadili Kazi.!!! Mshahara siyo hisani. Kwani sikukuu si ilijulikana utakuwa lini!