Tunapandisha Mizuka kwanzaHiyo nafasi umesha ipata?
Ziko taasisi diploma wanalipwa 1.5mil. Na ni taasis za serikali.Chapa kazi, mishahara ya diploma haitoboagi laki 7
Pata hiyo nafasi kwanza. Ukisha sign mkataba ndio uwe na confidenceTunapandisha Mizuka kwanza
Sio kweli kuna Taasisi za Serikali watu wanapokea 1.4m hadi 1.7m per month.Chapa kazi, mishahara ya diploma haitoboagi laki 7
Taasisi zipi hizo wanazolipa Diploma 1.4M namie niendeSio kweli kuna Taasisi za Serikali watu wanapokea 1.4m hadi 1.7m per month.
Mbona ndogo pia hiyo mzee😂 baki ulipo tu kwenye 700k hiyo.Taasisi zipi hizo wanazolipa Diploma 1.4M namie niende
kuna taasisi za serikali wanaanza na 1,800,000/- halafu posho 10%Taasisi zipi hizo wanazolipa Diploma 1.4M namie niende
siri mkuuTaasisi zipi hizo??
Uongo mtupusiri mkuu
Kama umemwelewa vzr, ni kwamba salary scale yake ni TGS maana yake ni serikali kuu, siyo taasisi yenye salary scale yake.kuna taasisi za serikali wanaanza na 1,800,000/- halafu posho 10%