Kuna tetesi kuwa baadhi ya Wabunge wetu huwa wana kawaida ya kuwanyonya madereva wao kwenye suala la mishahara kwa kuwa inapitia kwao Wabunge.
Nashauri kama inawezekana mshahara wa dereva upite moja kwa moja kutoka Bungeni uingie kwenye account ya dereva.
Ipo hivi mshahara na posho ya dereva wa Mbunge unapitia kwenye account ya Mbunge mwenyewe, hivyo sasa kima kilichopangwa na Bunge ili dereva apewe, kinachotokea wao Wabunge baadhi hawatoi kile kima, wanatoa kima cha chini sana.
Nashauri kama inawezekana mshahara wa dereva upite moja kwa moja kutoka Bungeni uingie kwenye account ya dereva.
Ipo hivi mshahara na posho ya dereva wa Mbunge unapitia kwenye account ya Mbunge mwenyewe, hivyo sasa kima kilichopangwa na Bunge ili dereva apewe, kinachotokea wao Wabunge baadhi hawatoi kile kima, wanatoa kima cha chini sana.