Mshahara wa Computer System Analyst pale BOT

Mshahara wa Computer System Analyst pale BOT

Manyema

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
691
Reaction score
1,821
waakuu naomba kuuliza hivi mshahara wa Computer System Analyst pale BOT (bank kuu) ni bei gani hasa? maana nisije nikaacha huku nilipo kwa kushobokea jina tu kumbe hakuna kitu. Naomba kuwakilisha.
 
waakuu naomba kuuliza hivi mshahara wa Computer System Analyst pale BOT (bank kuu) ni bei gani hasa? maana nisije nikaacha huku nilipo kwa kushobokea jina tu kumbe hakuna kitu. Naomba kuwakilisha.

Inategemeana na uzoefu wako, lakini hautapungua laki nane kwa mwezi, take home
 
kwani taasisi za kiserikali si huwa wanalipa kwa kutumia TGS?
 
inawezekananje ukafikiria kuacha huko uliko bila hata ya kupewa mkataba na hao BOT ambao una kiasi cha mshahara ndani yake? hebu fanya subira ukishapewa offer ndio uhamue mwenyewe na pia kazi si mshahara peke yake kuna vitu vingi inatakiwa uvitilie maanani kama benefits, nafasi za kusoma, carrier development, fursa za kujifunza vitu vipya, matibabu, assurance ya kazi, marupurupu, posho n.k
 
ukalipwa take home laki 6 lakini marupurupu ni mara mbili ya mshahara.
 
inawezekananje ukafikiria kuacha huko uliko bila hata ya kupewa mkataba na hao BOT ambao una kiasi cha mshahara ndani yake? hebu fanya subira ukishapewa offer ndio uhamue mwenyewe na pia kazi si mshahara peke yake kuna vitu vingi inatakiwa uvitilie maanani kama benefits, nafasi za kusoma, carrier development, fursa za kujifunza vitu vipya, matibabu, assurance ya kazi, marupurupu, posho n.k

mkuu funzadume hapo umeongea wacha nisubiri offer letter yao kwanza...
 
Entry point mshahara ni 1.2M gross,ila kuna marupurupu na pia nafasi ya kukopa mkopo usio na riba si chini ya 30M,so mzee unaweza jenga mwaka wa kwanza kazini
 
Vip mkuu ulipata au ulikua unataka kujua salary tu?
 
Back
Top Bottom