DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 42,268
- 105,487
Wakuu,
Nna maswali kadhaa najiuliza:-
1. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Ina maana TULIOWAZIKA WOTE NI WATENDA DHAMBI
2. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Kwaiyo WASIO NA DHAMBI HAWAFI?
3.Kama mshahara WA dhambi ni mauti, Je Zinazungumziwa dhambi aina zote ndo zinapelekea kifo au Kuna dhambi specific ambazo mtu akizifanya anaadhibiwa kwa kifo?
4. Dhambi zinazoongelewa kwenye huo msemo ni kitu gani hasa,
Je dhambi maana ake ni kuvunja TU zile AMRI 10 za Mungu au kuna AMRI nyingine zaidi ya zile 10?
Mbona inasekana pia kua
-ULAFI ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UCHOYO ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UBAHILI ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UNAFIKI ni dhambi,Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo.
NAOMBA KUULIZA PIA,
"uchawa" vipi, Hivi nao sio dhambi?
Nawasilisha🙏
Nna maswali kadhaa najiuliza:-
1. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Ina maana TULIOWAZIKA WOTE NI WATENDA DHAMBI
2. Kama kweli mshahara WA dhambi ni mauti, Kwaiyo WASIO NA DHAMBI HAWAFI?
3.Kama mshahara WA dhambi ni mauti, Je Zinazungumziwa dhambi aina zote ndo zinapelekea kifo au Kuna dhambi specific ambazo mtu akizifanya anaadhibiwa kwa kifo?
4. Dhambi zinazoongelewa kwenye huo msemo ni kitu gani hasa,
Je dhambi maana ake ni kuvunja TU zile AMRI 10 za Mungu au kuna AMRI nyingine zaidi ya zile 10?
Mbona inasekana pia kua
-ULAFI ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UCHOYO ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UBAHILI ni dhambi, Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo
-UNAFIKI ni dhambi,Ila kwenye zile AMRI 10 za Mungu haimo.
NAOMBA KUULIZA PIA,
"uchawa" vipi, Hivi nao sio dhambi?
Nawasilisha🙏