nyanda5
Member
- Nov 25, 2014
- 49
- 40
Wakuu habari! Naombeni msaada wenu kwa mwenye taarifa za mshahara wa kuanzia kwa assistant Lecturer, kuna nafasi naifukuzia UDOM lakini ninashauku ya kujua mshahara kabla sijaingieko, nina masters degree 1 lakini pia nina bachelor's degree 2. Nimejaribu kuangalia threads zilizopita nikaiona moja (post ya mwaka 2011 September 24) hivyo muda umekuwa mrefu sana nadhani scale zitakuwa zimebadilika. Hapa chini ni post ya scale za mwaka 2011
[Date: Septermber 24, 2011]"Mshahara wa Assistant lecturer ni PUTS 13 hadi PUTS 14 ukiajiriwa upya lazima uitumikie hiyo PUTS 13. PUTS 13 ni kama 1,348.070/= na PUTS 14 ni kama 1,701,070/= na hizo zote ni basic bado makato PUTS13 ukikatwa makato yote unachukua take home kama laki tisa na kitu hivi na PUTS 14 ukikatwa unaondoka na take home kama milionna laki mbili hivi hapo kama hauna mikopo.Hakuna marupurupu mengine mkuu hii ni kazi ya wito si ualimu au hujui Ukitaka rank zingine zipo kama lecturer,senior lecturer,Associate prof and full prof.Kazi njema".
[Date: Septermber 24, 2011]"Mshahara wa Assistant lecturer ni PUTS 13 hadi PUTS 14 ukiajiriwa upya lazima uitumikie hiyo PUTS 13. PUTS 13 ni kama 1,348.070/= na PUTS 14 ni kama 1,701,070/= na hizo zote ni basic bado makato PUTS13 ukikatwa makato yote unachukua take home kama laki tisa na kitu hivi na PUTS 14 ukikatwa unaondoka na take home kama milionna laki mbili hivi hapo kama hauna mikopo.Hakuna marupurupu mengine mkuu hii ni kazi ya wito si ualimu au hujui Ukitaka rank zingine zipo kama lecturer,senior lecturer,Associate prof and full prof.Kazi njema".