Mshahara wa Aprili umetoka

Mshahara wa Aprili umetoka

Tarehe za salary ndio tarehe zenye high pressure kwa watumishi wengi ,hako kasungura kanakua un-fit sehemu nyingi za matumizi
 
Mliajiriwa mnatabu kweli kweli nasie tunaopata mshahara kila siku tuna coment wapi au tuanzishe uzi wetu
Very relative term
1. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku…. 10,000/- lakini mwenzio anapata 300,000/- mwishoni kwa mwezi... Jua mpo sawa tu, tofauti yenu ni kiwango kwa muda gani
2. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku 10,000/- lakini mwenzio kwa mwezi anapata 1,000,000/-... Huyo kakuzidi..
3. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku, kwa nature ya wabongo, hizo 10,000/- za kila siku usifanye lolote la maana…. BY THE WAY unajuwa kwa nini watu wanacheza michezo ya kupeana hela kila baada ya muda Fulani kuna mtu anapewa MZIGO MKUBWA? Tunashindwa kukusanya wenyewe hadi kifike kiwango cha kufanya la maana….

HIVYO ULIPWE KILA SIKU AU KWA MWEZI, IT ALL DEPENDS ON nidhamu yako ya matumizi ya fedha….
 
Very relative term
1. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku…. 10,000/- lakini mwenzio anapata 300,000/- mwishoni kwa mwezi... Jua mpo sawa tu, tofauti yenu ni kiwango kwa muda gani
2. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku 10,000/- lakini mwenzio kwa mwezi anapata 1,000,000/-... Huyo kakuzidi..
3. Unaweza ukawa unapata mshahara kila siku, kwa nature ya wabongo, hizo 10,000/- za kila siku usifanye lolote la maana…. BY THE WAY unajuwa kwa nini watu wanacheza michezo ya kupeana hela kila baada ya muda Fulani kuna mtu anapewa MZIGO MKUBWA? Tunashindwa kukusanya wenyewe hadi kifike kiwango cha kufanya la maana….

HIVYO ULIPWE KILA SIKU AU KWA MWEZI, IT ALL DEPENDS ON nidhamu yako ya matumizi ya fedha….
Uko vizuri mkuu, hao hao wanaojitapa humu kwa kuwa wanabiashara zao, huku kitaa ukiwauliza vipi biashara hii inalipa utawasikia aaaah biashara ngumu wala hailipi!
 
Back
Top Bottom