Mshahara wa 1.3M take home ni bei gani?

Nusu ya mshahara yote inaenguliwa. Mbaya zaidi wafanyakazi hawatambuliki kama walipa kodi wazuri. Ndio maana kuna haja haya makato ya PAYEE yahusianishwe na TIN ya mfanyakazi.

Bodi ya mikopo ni janga lingine kwa waliosomeshwa kwa mkopo, hilo deni haliishi isipokua ulipe kwa mara moja.

Fao la uzeeni nalo kulifaidi ni nadra, hasa kwa hizi sheria mpya.
 
mtu hatakiwi kuangalia net pay tu Kuna waajiri huwa wengine Wana marurupu mengi mazuri au allowances nk waweza kuta mtu ana mshahara mdogo Lakini ana maruprupu mengi .Mfano unakuta mwajiri anasomesha Sana au safari za kikazi zenye posho za safari nyingi Sana za ndani na nje ya nchi nk
 
Nusu ya mshahara yote inaenguliwa. Mbaya zaidi wafanyakazi hawatambuliki kama walipa kodi wazuri. Ndio maana kuna haja haya makato ya PAYEE yahusianishwe na TIN ya mfanyakazi.

Bodi ya mikopo ni janga lingine kwa waliosomeshwa kwa mkopo, hilo deni haliishi isipokua ulipe kwa mara moja.

Fao la uzeeni nalo kulifaidi ni nadra, hasa kwa hizi sheria mpya.
PAYE ina haja kubwa sana ya kuhusianishwa na TIN.

Huyo mwajiriwa analipa hela nyingi sana kwa mwaka ila hatambuliki.

Sijaelewa so far kwanini hawafanyi hivyo. How hard could it be kuwaagiza waajiri waongeze column ya TIN number kwenye zile monthly remittance forms?
 
ingawa tunaweza kupata darasa kupitia google na sehem zingne,ila hata JF pia ni darasa tosha..naomba kujuzwa yafuatayo;

kiasi gan cha mshahara kinaanza kukatwa kodi?

kodi hupanda asilimia ya makato kila baada ya kiasi gani cha mshahara?

kodi hukatwa baada ya makato mengne e.g nssf au inakatwa kwenye basic salary?
 
Kama alivyosema ISO M.CodD ,WCF hakatwi mwajiriwa. Ni kama ilivyo SDL ambayo pia sio mzigo wa mwajiriwa. Ni mwajiri hulipa hizi.

Vyama unamaanisha kama TUICO, TUGHE, etc au?
Umeuiliza na kujijibu vyema sana..
Naona unachanganja mfuko wa majanga kazini na vyama vya wafanyakazi
 
Mimi nikajua una hoja ya msingi kumbe unatangaza kitabu. Sasa ukisoma tu hicho kitabu chako mshahara umeishaongezeka au. Naona umekuja kuchukua hata hicho kidogo.
 
Nakujibu Kama Payroll Accountant ambae kazi ya Kulipa mishahara ndio my main daily duty. Kwanza kabisa taarifa ulizoweka ni chache sana kaka yangu. So itabidi taarifa zingine niwe na assume tu.

Assumption #1
Tzs 1,300,000/= ni gross (basic + all other benefits).

Assumption #2
Haulipi NHIF wala vyama vya wafanyakazi

Assumption #3
Uko Private, au unachangia NSSF

Deductions,
NSSF = 10% X 1,300,000/=
= 130,000/=

So Taxable
= 1,300,000 - 130,000
= 1,170,000

PAYE
= (1,170,000-720,000) x30% +98,100
= 450,000 x30% + 98,100
= 135,000 + 98,100
= 233,100

HESLB
=1,300,000 X 15%
=195,000/=


Net Salary
= 1,300,000- 130,000-233,100-195,000
= 1,300,000- 363,100-195,000
= 741,900/=
Ujamkata advance salary teh
 
Nakujibu Kama Payroll Accountant ambae kazi ya Kulipa mishahara ndio my main daily duty. Kwanza kabisa taarifa ulizoweka ni chache sana kaka yangu. So itabidi taarifa zingine niwe na assume tu.

Assumption #1
Tzs 1,300,000/= ni gross (basic + all other benefits).

Assumption #2
Haulipi NHIF wala vyama vya wafanyakazi

Assumption #3
Uko Private, au unachangia NSSF

Deductions,
NSSF = 10% X 1,300,000/=
= 130,000/=

So Taxable
= 1,300,000 - 130,000
= 1,170,000

PAYE
= (1,170,000-720,000) x30% +98,100
= 450,000 x30% + 98,100
= 135,000 + 98,100
= 233,100

HESLB
=1,300,000 X 15%
=195,000/=


Net Salary
= 1,300,000- 130,000-233,100-195,000
= 1,300,000- 363,100-195,000
= 741,900/=
Mkuu nimekukubali kweli wewe ni mhasibu wa payroll maana umemshushia uhakika mtupu! Kazi kwake sasa kusuka au kunyoa! Ila vijana wa siku wanaboa sana yaani kameambiwa gross 1.3 m kanaanza kuwazawaza wakati wenzake wanakimbilia hata wakiambiwa gross ni laki 6!
 
Back
Top Bottom