Mshahara nao tumegomewa!!!!

Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
njaa
 
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
Jiongeze mzee baba... Mshahara hautoshi!!
 
Subiri kwanza watu wako busy kufuatilia maongezi ya watu kwenye simu. Wakimaliza watakulipeni mshahara mkuu.
Jamani naona wazee walituzoesha mapema...mambo yamekuwa hovyo mpka sasa au ni dalili za ongezeko la mwaka???njaa inatumaliza ambao hatuna akili za kujiongeza(wategemea mshahara) au wadau kuna fununu zozote jikoni huko???
 
Wizara ya fedha inafunga mahesabu kwa hyo kila halmashauri ilipereka mahesabu yake Dodoma,tuvumilie .Mwezi jana waliopamda madaraja walikuwa wachache wakasingizia eti aliyekuwa anaingiza majina alopata msiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…