Mshahara nao tumegomewa!!!!

Mshahara nao tumegomewa!!!!

Ikitokea watumishi wa umma wakakosa mshahara hata kwa miez mi5 au tisa mfululizo watafanya nini?
Toa jibu iki refer tabia zilizozoeleka kwa wafanyakazi wa Tanzagiza......
Je sheria za utumishi zinasema nn mwajiri asipolipa mshahara kwa muda wa mwezi 1 au miez 2 au mitatu mfululizo?????
Nachojua mtumishi wa umma asipofika kazini siku 3 mfululizo anakuwa amevunja mkataba na kujifukuzisha kazi????
Wajuvi wa sheria kujen hukuuu
 
Wizara ya fedha inafunga mahesabu kwa hyo kila halmashauri ilipereka mahesabu yake Dodoma,tuvumilie .Mwezi jana waliopamda madaraja walikuwa wachache wakasingizia eti aliyekuwa anaingiza majina alopata msiba
kwa hiyo mkuu hao wanaopanda watapanda wote mwez huu??yan mtu akifiwa anafiwa na ofisi??seriaz???
 
HayaaAt niongez nin
tapatalk_1563722770253.jpeg
 
Back
Top Bottom