Mshahara nao tumegomewa!!!!

Mshahara nao tumegomewa!!!!

Jaman hamken hamkeni
image_search_1563873913438.jpeg
image_search_1563873849049.jpeg
 
Usimjibu hivi mwenzako, anaweza kufikiri ametumbuliwa juu kwa juu.
Mshahara wote tunapata pamoja kuanzia Rais mpaka sisi washika virungu.
Internet banking unatazama salio bure, hata mara 5000 per day. Mjiunge
Internet banking kujiunga napo mpaka uende benki?Maelezo mkuu!
 
Internet banking kujiunga napo mpaka uende benki?Maelezo mkuu!
Kwa crdb mpaka uwe na Sim banking. Then unajiunga wewe mwemweyewe tu
Internet banking kujiunga napo mpaka uende benki?Maelezo mkuu!
Kwa crdb ukiwa umejiunga na sim banking tu unaweza jiunga direct wewe mwenyewe bila ya kwenda Bank.
Kwa nmb process zinafanana ingawa nmb ni simple zaidi.
Ukipakua tu app zao tayari
 
Kwa crdb mpaka uwe na Sim banking. Then unajiunga wewe mwemweyewe tu

Kwa crdb ukiwa umejiunga na sim banking tu unaweza jiunga direct wewe mwenyewe bila ya kwenda Bank.
Kwa nmb process zinafanana ingawa nmb ni simple zaidi.
Ukipakua tu app zao tayari
Vipi bila App? Naweza kutumia browser
 
Kwa crdb mpaka uwe na Sim banking. Then unajiunga wewe mwemweyewe tu

Kwa crdb ukiwa umejiunga na sim banking tu unaweza jiunga direct wewe mwenyewe bila ya kwenda Bank.
Kwa nmb process zinafanana ingawa nmb ni simple zaidi.
Ukipakua tu app zao tayari
Thanks! Na salary advance kwa CRDB kujiunga lazima uwe public sector(government) tu?Utaratibu wake?
 
Back
Top Bottom