Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

Mshahara na mafao ya diwani ni shilingi ngapi?

Nadhani mshahara ulipandishwa toka bajeti hii ianze. Ni kitu kama laki 5 na kwa halmashauri zenye uchumi mdogo madiwani wanalipwa na serikali kuu

wawa
Ndugu Kama kutakuwa na rejea ya Hilo andiko nitafurahi
 
Nilisikia 15M ndo mafao Ila sijaamini bado
Hapana ni 25 mkuu hili nina uhakika nalo labda iwe imeshushwa. Yupo raisi mpuuzi alitangazq kushusha mshahara hadharani wajinga wakashangilia wasijue nje ya mshahara familia ya raisi hulipwa ml 70 kwa mwezi kujikimu.
 
Habari wana Jamvi naomba kupewa elimu kuhusu maslahi na personal gain kwa mtu kuwa diwani ni sawa na posho an mishahara wanayopata wabunge?
Diwani ni kama mbunge usu wa ndani ya jimbo. Anashiriki na wenzake kuunda Baraza la Wilaya lenye maamuzi ya maendeleo ya wilaya nzima.

Tayizo hapa Tanzania, Mabaraza ya Madiwani kazi yao ni upigaji wa fedha za umma. Hati zote chafu za Halmashauri hukosi kukuta uhusika wa madiwani ndo maana hauwezi kusikia kikao hata kimoja cha District Full Council(s) wakijadili hati chafu za Halmashauri zao.


Diwani ni asset ya CCM kwenye utafunaji wa keki ya Taifa
 
Hapana ni 25 mkuu hili nina uhakika nalo labda iwe imeshushwa. Yupo raisi mpuuzi alitangazq kushusha mshahara hadharani wajinga wakashangilia wasijue nje ya mshahara familia ya raisi hulipwa ml 70 kwa mwezi kujikimu.
Kama ni 25M Basi ni kakibunda kazuri japo itabidi nikiingia niendeshe harakati nimuunge mkono John heche kulipazia sauti hili tuongezewe mafo na mshahara Magufuli alizingua alipokataa kupandisha mashahara kutoka 350000 Hadi laki 8 au milioni kwa mwezi
 
Diwani ni kama mbunge usu wa ndani ya jimbo. Anashiriki na wenzake kuunda Baraza la Wilaya lenye maamuzi ya maendeleo ya wilaya nzima.

Tayizo hapa Tanzania, Mabaraza ya Madiwani kazi yao ni upigaji wa fedha za umma. Hati zote chafu za Halmashauri hukosi kukuta uhusika wa madiwani ndo maana hauwezi kusikia kikao hata kimoja cha District Full Council(s) wakijadili hati chafu za Halmashauri zao.


Diwani ni asset ya CCM kwenye utafunaji wa keki ya Taifa
Nimekusikia but vipi madiwani wetu wanalipwa inavyostahili? Wanapewa posho na mafao yanayostahili? Jibu hapana ndio maana wanashiriki kwenye wizi
 
Kama ni 25M Basi ni kakibunda kazuri japo itabidi nikiingia niendeshe harakati nimuunge mkono John heche kulipazia sauti hili tuongezewe mafo na mshahara Magufuli alizingua alipokataa kupandisha mashahara kutoka 350000 Hadi laki 8 au milioni kwa mwezi
Magufuli alikuwa mpuuzi, mpumbavu na mjinga. Kama unaweza kuona kwa jicho la kisomi utaelewa . Alihubiri ubepari bila kujua hata maana yake kama mfumo. Bepar siyo lazima awe mzungu.
 
Hapana ni 25 mkuu hili nina uhakika nalo labda iwe imeshushwa. Yupo raisi mpuuzi alitangazq kushusha mshahara hadharani wajinga wakashangilia wasijue nje ya mshahara familia ya raisi hulipwa ml 70 kwa mwezi kujikimu.
Mkuu 70 kujikimu?.
 
Hapana ni 25 mkuu hili nina uhakika nalo labda iwe imeshushwa. Yupo raisi mpuuzi alitangazq kushusha mshahara hadharani wajinga wakashangilia wasijue nje ya mshahara familia ya raisi hulipwa ml 70 kwa mwezi kujikimu.
Usimbishie diwan wangu alipewa hiyo baada ya miaka 5 na akastaafu moja kwa moja
 
Habari wana Jamvi,

Naomba kupewa elimu kuhusu maslahi na personal gain kwa mtu kuwa diwani ni sawa na posho an mishahara wanayopata wabunge?
Diwani hana mshahara,kuhusu posho inategemea uwezo wa kiuchumu wa kila halmashauri
 
Back
Top Bottom