Mshahara Mpya July 2014

Mshahara Mpya July 2014

SERIKALI 3

Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
82
Reaction score
18
Wadau naomba yeyote aliyefanikisha kuunasa, kuusoma waraka wenye mishara mipya kwani nasikia umeshatoka utumishi.
Nataka kuanza kupanga bajeti mapema za mapato na matumizi!
 
Hand to mouth seriously ? Watakuja mkuu ngoja waje ?
 
Wadau naomba yeyote aliyefanikisha kuunasa, kuusoma waraka wenye mishara mipya kwani nasikia umeshatoka utumishi.
Nataka kuanza kupanga bajeti mapema za mapato na matumizi!

Kaka inaonesha wewe sio mzoefu na upandaji wa mishahara serikalini Tanzania... Maana ndio kwanza wataka hata kupanga budget. Ongeza kati ya 35,000 hadi 90,000 kwenye budget yako ya sasa...
 
utaongezewa 23,000/= halafu mtaani wanajua umeongezewa mshahara,utakoma hizo bei ukienda dukani kwa mangi na gengeni kwa da asha!!!ccm majanga.
 
Bora kujiajiri kuliko kuajiriwa bongo.
Mishahara ya sisi kk huwa inaishia siku ya tano ( 5 ) toka upatiwe.na baada ya hapo unaanza vizinga vya kufamtu.kama hapa nilipo nafikiria hela ya kula kesho nita ipataje .
Bongo noma sana.
 
Ongezeko la mshahara kwa Tz huwahalinifikirishi kabisa.Miaka yote ni yaleyale tu
 
Back
Top Bottom