Mshahara haujawahi kutosha labda uibe

Mshahara haujawahi kutosha labda uibe

Mimi nikute take home ya 5M kwenye akaunti, itanitosha
 
Nakumbuka nikiwa na mshahara mdogo ulitosha kabisa.

Baada ya kuongezeka tu ukawa hautoshi Tena.

Nikaamua kwenda kulima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom