Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 557
- 1,544
- Thread starter
- #21
Humu ndaniNaona watu wakijuzana tu vijiweni, kazi gani, kwakweli sijui
Ni kama hapa JF, tusio na magari hatuzidi 7






ThubutuuuNasikia mishahara imenona sana siku hizi, kila unayemuuliza anazungumzia kuanzia 1.5m baada ya makato.

Hiki kitu kimenichelewesha sana kufika nchi ya asali na maziwa.Shida yako wewe hutoi fungu la kumi!!! Ndo maana haiwezi kutosha
Hiki kitu kimenichelewesha sana kufika nchi ya asali na maziwa.
Nilipokuja kukigundua ni mwendo mserereko tu kutosheka na ninachopata.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app



umetumiwa sana ndugu umekuja kugundua muda umekutupa mkono 

Wanadanganya sio?
Nilikuwa mchungu sana kutoa zaka utadhani nilikuwa napata pesa kwa nguvu na juhudi zangu mwenyewe.umetumiwa sana ndugu umekuja kugundua muda umekutupa mkono
![]()
Ningeshangaa hii mada iishe bila kutaja walimuMishahara ya Ualimu ndio kabisa na cha kuiba HAKUNA huko hata chaki haziibiki.
.. kuna watu wanalipwa million 15 na haiwatoshiMimi nikute take home ya 5M kwenye akaunti, itanitosha
Mishahara ya watumishi haina tofauti kubwa,shida hakuna posho kada ya uwalimuMishahara ya Ualimu ndio kabisa na cha kuiba HAKUNA huko hata chaki haziibiki.