Mshahara bar maids

alubati

JF-Expert Member
May 29, 2016
5,681
12,131
Niko katika hatua za mwisho kufungua pub,kimara temboni,nahitaji bar maids wazoefu,hasa kutoka bar nyingine,mshahara kiasi gani kwa mwezi naweza kuwashawishi wahame wanapofanya kazi waje kwangu,na wale wa counter mshahara huwa tofauti na wengine,ushauri naombeni wakuu.
 
Ukiwa na chumba hapo bar cha wafanyakazi kuishi itakusaidia sana hasa kwa shughuli za asubuhi hutakuwa na pressure ya mtu kuchelewa.
 
Ukiwa na chumba hapo bar cha wafanyakazi kuishi itakusaidia sana hasa kwa shughuli za asubuhi hutakuwa na pressure ya mtu kuchelewa.
Tayari nimeshaandaa viwili,pub ni ya uwezo wa kati,nahitaji maids kumi hivi..
 
mkuu inategemea na bar anayotoka kama ni maarufu nadhani mshahara utakuwa mzuri tofauti na bar hiz ndogo,jaribu kufanya reseach katika hilo suala..
 
mkuu inategemea na bar anayotoka kama ni maarufu nadhani mshahara utakuwa mzuri tofauti na bar hiz ndogo,jaribu kufanya reseach katika hilo suala..
Poa poa mkuu,niko chimbo,bar si maarufu laki ya kisasa,kuliko maarufu nyingi.
 
Niko katika hatua za mwisho kufungua pub,kimara temboni,nahitaji bar maids wazoefu,hasa kutoka bar nyingine,mshahara kiasi gani kwa mwezi naweza kuwashawishi wahame wanapofanya kazi waje kwangu,na wale wa counter mshahara huwa tofauti na wengine,ushauri naombeni wakuu.
Dah mkuu me niko kitaa cna job bana xo hebu nipatie kachance apo ata u-manager if possible. Niko vzuri kwny managerial mzee xo hebu nifikirie
 
Niko katika hatua za mwisho kufungua pub,kimara temboni,nahitaji bar maids wazoefu,hasa kutoka bar nyingine,mshahara kiasi gani kwa mwezi naweza kuwashawishi wahame wanapofanya kazi waje kwangu,na wale wa counter mshahara huwa tofauti na wengine,ushauri naombeni wakuu.

Mshahara wake utategemea sana na idadi ya Wanaume watakaokuwa wanambandua hapo katika pub yako Kimara Temboni.
 
M
Niko katika hatua za mwisho kufungua pub,kimara temboni,nahitaji bar maids wazoefu,hasa kutoka bar nyingine,mshahara kiasi gani kwa mwezi naweza kuwashawishi wahame wanapofanya kazi waje kwangu,na wale wa counter mshahara huwa tofauti na wengine,ushauri naombeni wakuu.

Mkuu,

Ukipata hizo data za mishahara naomba u share plz maana na mm nipo ktk mchakato huo huo ila kwa sasa nipo ktk planning phase.

Kwa ushauri wangu, na uzoefu wa viwanja vingi nafikiri sio lazima kuchukua wa baa nyingine wote, hasa za hapo hapo. Mimi na plan kushusha vitu vipya kabisa, possibly kutoka sehemu nyingine mbali kabisa au hata nje ya mkoa kwa sababu kadhaa ikiwemo...mafisi watakuja kuangalia mali mpya, kuzuia hawa kuleta wateja wao wa kunywa bia mbili tu na kupiga story weee na wapenzi wao, na wengine wanahamishia dili zao za wizi kuleta kwako...
 
Kuna njia nzur yakuwa manage mabaa maid, huku kwtu tuna walipa kwa jinsi wanavyouza yaan kwa kreti...kwa kreti ya bia tunawalipa kati ya 1500-2000 na soda za chupa 1000-1500 vinywaji vingine kama vinywaji vikali na laini ni bonus kwa mwenye bar, kila siku anajumlishiwa alichouza mwisho wa mwezi inapigwa hesab ya jumla... mtu wa counter ndio analipwa 80000-120000 chakula cha mchana ni cha ofsin inagharim
 
Dah mkuu me niko kitaa cna job bana xo hebu nipatie kachance apo ata u-manager if possible. Niko vzuri kwny managerial mzee xo hebu nifikirie
huyu manager mtarajiwa kama kusema 'so' tu kunamshinda anasema 'xo', ataiweza kaz kweli? boss hebu pitia CV yake vizur asijekua anatokea call me J, halaf kama ni jinsia me akisema 'xo' ndo huwa nashangaa kuliko maelezo. No hard feelings.........
 
Back
Top Bottom