Mseto

BIN BOR

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,013
407
Ukiacha US ambapo rais kwa utashi wake na chama chake huamua kuteua mawaziri kutoka upinzania, hapa Afrika kwetu mambo ni tofauti. Unakuwa na rais na waziri mkuu/makamu wanaoteua nusu kwa nusu. Mambo haya yalianzia Kenya. Kisha Zimbabwe. Juzi juzi Zanzibar. Sasa sijui Ivory Coast itakuwaje....
 
Back
Top Bottom