BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Ukiacha US ambapo rais kwa utashi wake na chama chake huamua kuteua mawaziri kutoka upinzania, hapa Afrika kwetu mambo ni tofauti. Unakuwa na rais na waziri mkuu/makamu wanaoteua nusu kwa nusu. Mambo haya yalianzia Kenya. Kisha Zimbabwe. Juzi juzi Zanzibar. Sasa sijui Ivory Coast itakuwaje....