Nakula kwasababu kuna masamaki ati lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ha ha haaa tonge nyamaaa au nyama tonge nyama!
Yah hata mamaangu anaupika sana na mchuzi wa nazi wa nyama…..Thanks kwa pishi bi shost.
Umenikumbusha mama yangu ni mpishi mzuri wa mseto. Sema sasa umri umeenda tu maskin.
Pia mseto unanoga pia kwa roast la nyama au hata mchuzi wa nyama wa nazi.
Yummy