Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,461
- 829,856
Kuna mtu huku moro ,anaitwa mkosasura na mwingine anaitwa kichwa cha nyoka A.k.A Athuman sura bovu.
Uduvi ni dagaa wadogo ni lugha ya kisambaaa
Kuna mtu huku moro ,anaitwa mkosasura na mwingine anaitwa kichwa cha nyoka A.k.A Athuman sura bovu.
Prawns....
Umekosa Preta uduvi ni vidagaa vidogo vina chumvi kama kamongo ni lugha ya kisambaa
Wamekuaje hao watu?