Msemaji wa Serikali: Tanzania imeendelea kung'ara, imepanda juu zaidi katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi

Madeni yamelipwa bila shaka. Sasa zije ziwe za urembo.
 
Mkuu kwenye mambo mengine ukweli ni lazima usimame pekee yake na uheshimiwe. Idadi ya wasafiri wa ndege Nchini ni ndogo sana kuiwezesha ATCL kuendeshwa kwa faida. Kama ni private company shareholders wa kampuni husika wangekuja juu sana kwa hasara ya 223.1 billions ndani ya miaka miwili. Maamuzi ya kukurupuka bila kuhusisha Wataalam husika yanaweza kabisa kusababisha jumla ya hasara ya ATCL kwa miaka mingine mitatu au minne kugota kwenye trillion na ushee.

Yaani, mwaka wa fedha 2015/2016 taifa limepata hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 na mwaka wa fedha 2016/2017 (uliomalizika Septemba 2017) tumepata hasara ya shilingi billion 113.8

Uchambuzi wa Mtatiro J kuhusu ATCL kujiendesha kwa hasara


Hapa kuna watu wananuna...! Kisa 'ATCL' inaimarishwa na bado wanajiita wana wa taifa la Tanzania.
 
Chenge, ngeleja, tibaijuka n.k. wanakula bata
Huyu Msemaji wa Serikali wana kikundi chao cha Wanafunzi waliomaliza Azania mwaka fulani, jamaa wanamzodoa humo kwenye hilo group lao la Whatsapp mpaka anatia huruma..
Maana haya maujinga anayoyaongelea kwenye hizi press conference alikuwa anayapeleka kule, wamemkomesha, siku hizi kimya.
 
Mambo yaleyale tu...hamna kipya hapo....tunazungukazunguka mulemule kama duara....
Maisha kutesa kwa zamu...kuna ambao walitesa kipindi cha Kikwete na sasa wanaoshi kama majini...while kuna wanaotesa miaka hii....
Report kama hizo zina maana kwa watz kama asilimia 20% tu......wengi hata haziwahusu kabisa....
 
Dkt. Hassan Abbasi.


Amesema mradi huo utazalisha Megawatt 2100 ambacho nikiasi cha zaidi ya mara mbili ya umeme wote unaotumika Tanzania kwa sasa, ambao ni Megawatt 1000, na kueleza Tanzania itakuwa donnor country kwenye kutoa huduma ya nishati.

Tatizo ni kuwa hizi "habari nzuri" hakuna anayezisikia, kuzijali wala kuzifuatilia. Serikali yenyewe inajaribu kuwaonesha watu "habari nzuri" lakini wakati huo huo inawapiga makonzi waangalie!.. well wanaangalia mkono uliowapiga makonzi!
 
Mambo yaleyale tu...hamna kipya hapo....tunazungukazunguka mulemule kama duara....
Maisha kutesa kwa zamu...kuna ambao walitesa kipindi cha Kikwete na sasa wanaoshi kama majini...while kuna wanaotesa miaka hii....
Report kama hizo zina maana kwa watz kama asilimia 20% tu......wengi hata haziwahusu kabisa....
Haziwezi kuwa na maana kwa mafisadi
 
Ndugu msemaji wa serikali haya yote tunayajua inakuwaje kila siku unaongea vitu hivyo hivyo?

Na kila kiongozi nae anaongea mambo hayo hayo

Umeme, Reli, na kusifiwa basi hakuna mengine?
Hayo ndio maswala ya msingi kwa ustawi wa Taifa.
Unataka tuongelee ngada za mwenyekiti wenu au matusi ya Sugu?
 
Hivi huyu msemaji wa serekali inaonyesha ameshawai kuimba taarabu ana maneno ya kujishebedua kama Adija kopa
 
Huyu Msemaji wa Serikali wana kikundi chao cha Wanafunzi waliomaliza Azania mwaka fulani, jamaa wanamzodoa humo kwenye hilo group lao la Whatsapp mpaka anatia huruma..
Maana haya maujinga anayoyaongelea kwenye hizi press conference alikuwa anayapeleka kule, wamemkomesha, siku hizi kimya.
Ningekuwa kwenye hilo group nadhani ningekuwa segerea kwa kesi za uchochezi
 
SerikariSerikari ya viwanda vya power bank nyambafu zenu kula mle nyie chooni mnataka tuende sie
 
Back
Top Bottom