Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Paaaap umepunguzwamara paaaaaaaaap mshahara kwa watumishi wa umma umepanda kwa asilimia 200
uwiiiiiih nakunyaaaaaaaaaaaaaaaaa
Paaaap umepunguzwamara paaaaaaaaap mshahara kwa watumishi wa umma umepanda kwa asilimia 200
uwiiiiiih nakunyaaaaaaaaaaaaaaaaa
Lazima yafuate utaratibuGazeti gani linafungiwa safari hii? Maana tunapoelekea tutabaki na Uhuru, Mzalendo na Daily news tu!
Ndio mpuuzi gani huyoHuenda akaja kutangaza kuruhusu kumwombea TL
Nimekunukuu mkuu. Ikiwa kweli nitakukumbukaleo hakuna jipya zaidi ya kufungiwa kwa gazeti la mwananchi. note my comment
Trump nae ni mtu wa kuchukua anayoongea? Naona mmepata cha kushika...Lazima yafuate utaratibu
ulimsikia Trump Kuhusu kufuta Baadhi ya vyombo vya habari!
Anawaongoza wale wanao watumia kama kaptulaTrump nae ni mtu wa kuchukua anayoongea? Naona mmepata cha kushika...
At least wengine tunatumiwa kama kaptula. Shida ni nyie mnaotumiwa kama kondomu!Anawaongoza wale wanao watumia kama kaptula