Mtu_Mzima
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 1,163
- 1,125
Brain washed foolish people. Western, western, western my footChina kuna University ya maana? Nilidhani Western countries kumbe ni uchina!
Brain washed foolish people. Western, western, western my footChina kuna University ya maana? Nilidhani Western countries kumbe ni uchina!
Si bora hata haji Manara?Huyu jamaa anajua nn maana ya kuwa msemaji,aliwahi kumfunga mdomo Lissu kwa tweet moja tu
Huwa anaelezea na kufafamua mambo mabalimbali ya kiserikali. Ni jamaa makini sana, jaribu kumfuatilia bila yakuweka nta masikioni.ivi huwa anaisemea nini serikali
😆😆😆😆Ni mchango upi huo
Hivi wa da gama bado upo ama ndo uliishia 2015Huo uprofessor wa kichina ambao ni wa muda mbona hawajasema unaisha lini? Ila hawa wachina hawa..he heeeeee....wanatuangamiza huku wanatuchekea
kuna yule mkubwa wao alienda Twitter kutuma salamu kwa Xi Ji Ping wakati China imepiga ban mtandao wa Twitter.Wachina kwa kula na vipofu siwawezi. Hata u-mungu wa kichina hawasiti kukutunuku!
Mimi nipo aisee, mambo vipi?Hivi wa da gama bado upo ama ndo uliishia 2015
Kumbe china niridhani ni nchiView attachment 912118
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dk. Hassan Abbasi, ametunukiwa cheti cha Uprofesa wa Muda (Part Time and Research Professor) katika Kitivo cha Lugha na Utamaduni wa Kigeni katika Chuo Kikuu cha Mawasiliano na Habari cha China (China Communication University). Tuzo hiyo imetolewa na Mkuu wa Kitivo hicho kwa kutambua mchango wa Dkt. Abbasi katika tasnia ya habari, utafiti na lugha ya Kiswahili.
Akizungumza wakati wa hotuba yake chuoni hapo kuhusu hali ya sekta ya habari nchini Tanzania, Dkt. Abbasi amesema kuwa vyombo vya habari vina wajibu wa kusaidia maendeleo ya nchi na kuwa chachu ya amani na si vurugu. "Sisi kama wanahabari au vyombo vya habari tunapaswa kuwa na weledi na wajibu wetu mkuu ni kusaidia maendeleo ya nchi na si kuzigawa jamii au kuzitofautisha. Waandishi wa habari wa hapa China ni mfano mzuri wa kile ninachokiita uandishi wa habari za kimaendeleo na si za kimapokeo " amefafanua Dk. Abbasi.
Aidha, Dkt. Abbasi ameshauri vyombo vya habari nchini Tanzania kutobaki na mfumo mmoja wa utoaji taarifa bali kujiimarisha katika mifumo mingine ya kidigitali kwani dunia imehama kutoka analojia kwenda digitali.