Hapo nimekuelewa!Magu ataichoka hii Nchi mwenyewe.
Kaja na Spidi kubwaa kuliko uwezo wa Nchi.
Anataka kwa miaka 5 tuwe kama marekani, hahaaha.
Mandege Makubwa, Ma reli na ma fly over ya ajabu wkt nchi haina umeme wa kutosha, maji, elim nk.?
Wewe vp! Unaota?Huyu mtu an anawafanya msilale
Mteule yupi!!Wezi hamlali usiku mnene mnawaza jinsi ya kumkwamisha mteule wa Mungu.
Unajua anafanya mambo yanayoathiri maisha yetu,hatuna budi.mfano ujinga unaofanya wewe unawezaje kutufanya tusilale?Huyu mtu an anawafanya msilale
Siku mkiwa na akili timamu mtatoa machoziWezi hamlali usiku mnene mnawaza jinsi ya kumkwamisha mteule wa Mungu.
Nadhani umeamua kuwa sarcastic mkuuWezi hamlali usiku mnene mnawaza jinsi ya kumkwamisha mteule wa Mungu.
Basi makengeza ya chairman ndo yanakufanya usilaleUnajua anafanya mambo yanayoathiri maisha yetu,hatuna budi.mfano ujinga unaofanya wewe unawezaje kutufanya tusilale?
Hujafa hujaumbikaBasi makengeza ya chairman ndo yanakufanya usilale
Ndio nn?Hujafa hujaumbika
Hata hhhala la taifa halina chakula cha dharulaMagu ataichoka hii Nchi mwenyewe.
Kaja na Spidi kubwaa kuliko uwezo wa Nchi.
Anataka kwa miaka 5 tuwe kama marekani, hahaaha.
Mandege Makubwa, Ma reli na ma fly over ya ajabu wkt nchi haina umeme wa kutosha, maji, elim nk.?
Ni machozi ndiyo yatawapa akiliSiku mkiwa na akili timamu mtatoa machozi
Ni vibaya sana unapounganisha shambulio la Lissu na bombardier.Masikini Wakataka Kumuua,
Wezi hamlali usiku mnene mnawaza jinsi ya kumkwamisha mteule wa Mungu.
Hiyo sentensi nyekundu imebeba,maneno zaidi ya elfu kumi,baba anataka kununua vogue,wakati kipato kidogo,analazimisha,watoto wale viazi vitamu na chai bila sukari,ili adundulize,vogue ipatikane,Hapo nimekuelewa!