Msemaji wa Muhimbili: Wafanyakazi 134 walioondolewa walikuwa wakitoa huduma bora bila kasoro

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,835


Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Emmanueli Eligaisha amesema wafanyakazi 134 waliiondolewa Muhimbili hawajaleta madhara yoyote kwa wagonjwa kwa kuondolewa kwao kwa kuwa walikuwa wamejipanga kutoa huduma kwa dharura.

Sababu iliyowarahisishia kukava nafasi zao ni kuwa wametoka katika maeneo mblimbali na sio eneo moja.

Kati ya 134 madaktari ni 2, wauguzi ni 68, maabara 10, famasia 2, kumbukumbu wagonjwa 11, wahudumu wa afya 19 na kada nyingine watu 22.

Pia amesema kuwepo kwa watumishi hao hakujawahi kuzorotesha huduma ya matibabu na anayedai hakupewa huduma bora aende na ushahidi.
 


Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Emmanueli Eligaisha amesema wafanyakazi 134 waliiondolewa Muhimbili hawajaleta madhara yoyote kwa wagonjwa kwa kuondolewa kwao kwa kuwa walikuwa wamejipanga kutoa huduma kwa dharura.b
Sababu iliyowarahisishia kukava nafasi zao ni kuwa wametoka katika maeneo mblimbali na sio eneo moja,
Kati ya 134 madaktari ni 2, wauguzi ni 68, maabara 10, famasia 2, kumbukumbu wagonjwa 11, wahudumu wa afya 19 na kada nyingine watu 22.
Pia amesema kuwepo kwa watumishi hao hakujawahi kuzorotesha huduma ya matibabu na anayedai hakupewa huduma bora aende na ushahidi

Akisema tofauti na hiyo atatumbuliwa, hawezi sema ukweli wa dhati toka moyoni mwake. haiwezekani wapungue wote useme hakuna tofauti, nonsense!
 


Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Emmanueli Eligaisha amesema wafanyakazi 134 waliiondolewa Muhimbili hawajaleta madhara yoyote kwa wagonjwa kwa kuondolewa kwao kwa kuwa walikuwa wamejipanga kutoa huduma kwa dharura.

Sababu iliyowarahisishia kukava nafasi zao ni kuwa wametoka katika maeneo mblimbali na sio eneo moja.

Kati ya 134 madaktari ni 2, wauguzi ni 68, maabara 10, famasia 2, kumbukumbu wagonjwa 11, wahudumu wa afya 19 na kada nyingine watu 22.

Pia amesema kuwepo kwa watumishi hao hakujawahi kuzorotesha huduma ya matibabu na anayedai hakupewa huduma bora aende na ushahidi.

Wako madereva hadi marubani wanaoweza endesha magari au ndege vizuri tu ila ikitokea ajali bima hawalipi sababu mwendeshaji hana leseni. Hao manesi feki Na madaktari feki wangesahau mikasi kwenye tumbo la mtu waliowafanyia operation akafa huwezi washtaki kwani si madaktari waliosajiliwa. Hatujui wangapi walikufa kwa matibabu wrong, dawa wrong etc walizopewa na hao wasio Na vyeti. Anaongea utafikiri vyeti si muhimu kwenye fani Ya tiba. Chadema huyo.
 
Wako madereva hadi maruhani wanaoweza endesha magari au ndege vizuri tu ila ikitokea ajali bima hawalipi sababu mwendeshaji hana leseni. Hao manesi feki Na madaktari feki wangesahau mikasi kwenye tumbo la mtu waliowafanyia operation akafa huwezi washtaki kwani si madaktari waliosajiliwa. Hatujui wangapi walikufa kwa matibabu wrong, dawa wrong etc walizopewa na hao wasio Na vyeti. Anaongea utafikiri vyeti si muhimu kwenye fani Ya tiba. Chadema huyo.
Haujamuelewa kutokana na aina ya uandishi wa kichwa cha habari yenyewe.
Siyo kwamba hao walioodolewa walikuwa wanafanya kazi bila tatizo kama kichwa cha habari kinavyosema, bali mantiki yake ni kuwa, walioondolewa wameondolewa, lakini kazi zinaendelea kama kawaida.
 
Haujamuelewa kutokana na aina ya uandishi wa kichwa cha habari yenyewe.
Siyo kwamba hao walioodolewa walikuwa wanafanya kazi bila tatizo kama kichwa cha habari kinavyosema, bali mantiki yake ni kuwa, walioondolewa wameondolewa, lakini kazi zinaendelea kama kawaida.
Niliona Kama anashangilia kuwa vyeti ni irrelevant kuwa hospital ruksa kufanyiwa operation hata Na teja ambalo halijawahi kanyaga chuo chochote as long linaweza fanya operation
 
Haujamuelewa kutokana na aina ya uandishi wa kichwa cha habari yenyewe.
Siyo kwamba hao walioodolewa walikuwa wanafanya kazi bila tatizo kama kichwa cha habari kinavyosema, bali mantiki yake ni kuwa, walioondolewa wameondolewa, lakini kazi zinaendelea kama kawaida.
Soma para ya mwisho amethibitisha pia hilo unalolipinga.
 
Wakitoka hapo wanakweda kuleta watu wapya ambao kwanza inabidi wapitie training za mazingira

Watumie muda kupata experience through trios and errors

Ipite miaka kadhaa kabla ya kuanza kuwa trusted kazini kufanya kazi independently

Isitoshe mwajiri ajawai lalamika wala kupata malalamiko ya utendaji wao; hili mradi tu wavurugue mtu kasomea udaktari cheti chake cha la 7 or form 4 kinahusika vipi baada ya hapo.

Embu tujiulize kama anakuja mtaalamu wa HR based on technical competence za nafasi zao kati ya waziri na hawa wanaofukuzwa based on the testimony ya mwajiri wao nani ni tatizo.

You wonder inakuwaje watu kadhaa wanaweza pewa nafasi sensitive za kutuongoza na kutuamulia based on their reasoning capacity.
 
Wakitoka hapo wanakweda kuleta watu wapya ambao kwanza inabidi wapitie training za mazingira

Watumie muda kupata experience through trios and errors

Ipite miaka kadhaa kabla ya kuanza kuwa trusted kazini kufanya kazi independently

Isitoshe mwajiri ajawai lalamika wala kupata malalamiko ya utendaji wao; hili mradi tu wavurugue mtu kasomea udaktari cheti chake cha la 7 or form 4 kinahusika vipi baada ya hapo.

Embu tujiulize kama anakuja mtaalamu wa HR based on technical competence za nafasi zao kati ya waziri na hawa wanaofukuzwa based on the testimony ya mwajiri wao nani ni tatizo.

You wonder inakuwaje watu kadhaa wanaweza pewa nafasi sensitive za kutuongoza na kutuamulia based on their reasoning capacity.
Nadhani wengine mnaongea msichokijua vizuri mm nimefanya kazi Muhimbili nawajua wengi walioajiriwa vilaza , utendaji kazi wao in Wa hovyo sana na ndio chanzo cha huduma mbaya hospitalini , waliajiriwa na waajiri hovyo na kupendelea , daktari anayefoji vyeti ni afadhari asiwepo maana madhara ni mengi wanafanya ambayo mtu asiyekuwa Wa afya hawezi kuyajua lkn sisi tulip ndani tunayajua na watu hao tunawajua kwa ubovu wao. Kuajiri wapya hakuna shida si lazima wawe na experience maana wanasomea na kufanya kazi kwa mazingira Yale Yale , anapokuwa chuoni anafundishwa kazi anazozifanya , mfano mtu Wa maabara yy akiwa mwanafunzi anatumia mashine zilezile na uwa wanakuwa wanafanya hizo kazi wakiwa Bado wanafunzi , hii sekta ni tofauti na sekta nyingine , wengi Wa madaktari kuanzia Mwaka Wa 4 wanakuwa wodini akija kumaliza intern anakuwa ana experience ya miaka mitatu wodini. Kwa hiyo Mara nyingi hospital uwa mnatibiwa na madaktari wanafunzi , hayo mtu Wa nje huwezi elewa
 
Nadhani wengine mnaongea msichokijua vizuri mm nimefanya kazi Muhimbili nawajua wengi walioajiriwa vilaza , utendaji kazi wao in Wa hovyo sana na ndio chanzo cha huduma mbaya hospitalini , waliajiriwa na waajiri hovyo na kupendelea , daktari anayefoji vyeti ni afadhari asiwepo maana madhara ni mengi wanafanya ambayo mtu asiyekuwa Wa afya hawezi kuyajua lkn sisi tulip ndani tunayajua na watu hao tunawajua kwa ubovu wao. Kuajiri wapya hakuna shida si lazima wawe na experience maana wanasomea na kufanya kazi kwa mazingira Yale Yale , anapokuwa chuoni anafundishwa kazi anazozifanya , mfano mtu Wa maabara yy akiwa mwanafunzi anatumia mashine zilezile na uwa wanakuwa wanafanya hizo kazi wakiwa Bado wanafunzi , hii sekta ni tofauti na sekta nyingine , wengi Wa madaktari kuanzia Mwaka Wa 4 wanakuwa wodini akija kumaliza intern anakuwa ana experience ya miaka mitatu wodini. Kwa hiyo Mara nyingi hospital uwa mnatibiwa na madaktari wanafunzi , hayo mtu Wa nje huwezi elewa

Kwa hivyo unataka kusema watu 134 ndio ilikuwa chanzo cha huduma mbaya, ama? Chanzo cha huduma mbovu za afya Tanzania tatizo la msingi sio vyeti fake pekee hilo ni tatizo dogo sana katika picha kubwa.

Kama kungekuwa na mechanism za standardization ya huduma, expectation ya quality of services, system za ukaguzi, appraisals uitaji kutumia mabillioni ya shillingi kwenye sector ya afya kukagua vyeti this is profession work under performers watajitokeza tu kama kumwanga mafuta ya taa kwenye shimo la nyoka provided there are good supervision policies.

Who is responsible for designing those mechanisms wizara husika ukiwasikia tu wanavyoongelea matatizo na uvumbuzi wao unajua hapo hamna kitu in terms awareness to managing the sector na wengine ni medical doctors, wamefundisha, wame practice na hakuna nyanja ambayo awaijui.

Kwa hivyo you can see medical management ndio tatizo halisi na namna ya kuboresha huduma zao.

Juzi wizara ya afya imetumia utakuta mabillioni ya walipa kodi kujifanya wanakuja na mmpango wa public health ya kupambana na non communicable diseases; tumeona mawaziri na manaibu waziri wakishiriki kwenye uzinduzi wake.

Sasa basi kwa kuzingatia mafanikio ya hili zoezi linataka kubadili fikra, understanding of demographically health determinants becuase they might vary from place to place.

Mipangp ya aina hiyo mafanikio yake inataka kila halmashauri itengeneze intervention approach yake: sasa ebu njoo useme halmashauri gani inajua framework ya wizara na wao wanatakiwa wafanye nini kupambana na kuhamaisha tabia zitakazo punguza magonjwa yanayo epukika.

Na hiyo policy imeandaliwa na wizara na wataalamu wake; vyeti Tanzania sio tatizo pekee kuna mambo mengi; hawa kweli unategemea watakuja na national hierarchical structure ya kutatua matatizo ya huduma mbovu za afy ambazo system zake ni very complicated utasubiri sana watatafuta scapegoats to save their own incompetence ya nafasi wanazoteuliwa kuzisimamia.

The whole thing is unfair kuhusu vyeti feki iand lacks moral support unless kweli mtu ambae akusomea udaktari anafanya kazi hapo sawa.
 
Wakitoka hapo wanakweda kuleta watu wapya ambao kwanza inabidi wapitie training za mazingira

Watumie muda kupata experience through trios and errors

Ipite miaka kadhaa kabla ya kuanza kuwa trusted kazini kufanya kazi independently

Isitoshe mwajiri ajawai lalamika wala kupata malalamiko ya utendaji wao; hili mradi tu wavurugue mtu kasomea udaktari cheti chake cha la 7 or form 4 kinahusika vipi baada ya hapo.

Embu tujiulize kama anakuja mtaalamu wa HR based on technical competence za nafasi zao kati ya waziri na hawa wanaofukuzwa based on the testimony ya mwajiri wao nani ni tatizo.

You wonder inakuwaje watu kadhaa wanaweza pewa nafasi sensitive za kutuongoza na kutuamulia based on their reasoning capacity.
Kwani sheria za nchi zinasemaje mkuu kuhusu sifa na vigezo vya kupata ajira?
 
Back
Top Bottom