Msemaji wa Dar Young Africans ni nani hasa?

Ukiangalia vizuri kuna picha inajionyesha Yanga wameanzisha 'kijiji cha wasemaji' kupambana mtu mmoja tu anayewanyima raha katika soka la Tanzania Haji Manara.
 
.
Screenshot_20200225-213031_Facebook.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana sasa mnaanza kuhangaika na Jerry Muro Yanga hata ikiwa na wasemaji kumi wewe kinakuuma nini? Pale Jerry kabipu kidogo tu jamaa wanahaingika suburini awashughulikie kama enzi zile manara alipojificha uvunguni kumwogopa Jerry
 
Haji Manara kwa uwezo wake hajawai kushindwa kupambana na ' wana kijiji cha wasemaji ' pale Yanga . anachokisemea Sababu za
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom