passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,589
- 3,196
H
Joshua mollel hafanani nae hata kidogo
huyu Nani?
Joshua mollel hafanani nae hata kidogo
huyu Nani?
Kumbuka vita sio harus mpaka ualikwe itakapo kukutia kama una mbio kimbia sana kama unapakujifisha jfche uko uko na usjejtokeza kamwe. Jamaa kuvaa gwanda uez jua n stuation gan ilwakuta mpakq wakaenda front na kuvaa gwanda refer mtanzania wa urus vita ilmkutq yuko jela wakataarfiwa watakao enda vtan wakirud wako huru kurud uraian kwann jamaa astumie fursa kumbe yeye ndio fursa yenyew.. kwaio tumwombeen tu kijana mwenzetu mwendo kaumalza kwa stail yake Na hao hamas Walaaniwe
Achana na Clement, tunamzungumzia Joshua, huyo aliyevaa nguo za askari ni nani?LINGANISHENI HIZI PICHA AFU MJIONE AIBU NINYI WENYEWE; View attachment 2848562View attachment 2848563
Nimekuelewa sana mkuu.Haya mambo yanafikirisha, mkiona mpaka mzazi wa marehemu kaamua kwenda kupambania mwenyewe kuhusiana na kifo cha mwanaye huku serikali iliyoapa kulinda raia wake ikikaa kimya kama vile hamna kilichotokea au ni kuku kapoteza maisha basi mjue kuna shida kubwa sana kwenye utawala wa hii nchi
Achana na Clement, tunamzungumzia Joshua, huyo aliyevaa nguo za askari ni nani?
Sasa kama ni kweli jamaa aliungana na jeshi na kuwa ndio sababu ya kuuwawa.Aisee ndiye huyu dogo kumbe alikuwa askari, sasa Hamas hawana makosa, ile video niliona hata boxer alivaa ilikuwa ya kijeshi.
Hujaelewa maswali yangu. Mwili wa Joshua inadaiwa umeuwawa na hamas tarehe 7.10.2023 ndani ya nchi ya israeli wakati wanafanya tukio la kuuwa wale waisraeli 1400 tunaoambiwa waliwaua sasa nauliza je hamas baada ya kumuua waliamua kuondoka naye kwenda Gaza? Na je kulikua na umuhimu gani wa kuondoka na mwili wa Joshua na kuacha ile miili mingine waliyoua pale kwenye tukio?Msemaji wa Hamas aliweka wazi mauaji ya raia wa nchi zingine waliowateka ni Salam kwao kwamba kumpeleka raia wao Israel ni hatari. Na wao wapo vitani na Kila mshirika wa Israel.
Sasa kama walimteka na amafariki wakiwa nae, unataka Israel waseme Wana mwili wake?
Kumbuka kama alikua ameenda Israel Kwa kufuata taratibu zote, serikali yetu itataka kujua Nini kimejiri na mwili wake uko wapi. Lazima Israel watolee ufafanuzi.
Wewe unachopinga ni kipi, kwamba hajatekwa na Hamas, hajauwawa na Hamas au mwili wake haupo mikononi mwa Hamas?
Tuliambiwa siku ya tukio hamas waliua watu 1400 kwanini waamue kuchukua mateka mwili wa Joshua tuu hii mingine waiache? Joshua alikua ana umuhimu gani kwa hamas?Mwili hauozi jamaa wa kipekee sn
Utawala wa nchi si upo pamoja na palestina na wapalestina si pamoja na Hamas sisi wananchi tusemeje sasa.
Japo hiyo video ya Jo inafikirisha lakini waislamu baadhi kufurahia kifo cha Joshua Mollel inafikirisha zaidi
Ni watu wanamna gani hawa waislamu kati lbgtq na waislamu ni kundi gani hatari zaidi kwa binadamu wengine
Maana kama Jo angetekwa na mashoga yawezekana angekuwa hai mpaka wakati huu
Lakini katekwa na watu wa allah akbar wakammiminia risasi hadharani na sasa wanakuja na propaganda kuwa yule mkulima alikuwa mwanajeshi wa Israel.
Tena hiki kina onekanika ni kilimo cha mboga mboga
hamas walienda pale na magari na pikipiki, hawakwenda kwa mguu. maiti zilizoshikiliwa sio za mtanzania tu hata za israel zipo kadhaa, na wanafanya hivyo ili kuwatesa kisaikolojia wayahudi.Hujaelewa maswali yangu. Mwili wa Joshua inadaiwa umeuwawa na hamas tarehe 7.10.2023 ndani ya nchi ya israeli wakati wanafanya tukio la kuuwa wale waisraeli 1400 tunaoambiwa waliwaua sasa nauliza je hamas baada ya kumuua waliamua kuondoka naye kwenda Gaza? Na je kulikua na umuhimu gani wa kuondoka na mwili wa Joshua na kuacha ile miili mingine waliyoua pale kwenye tukio?
Mbona unatoka nje ya topic mkuu? Nimeuliza tuu kama Joshua alikua miongoni mwa 1400 waliouliwa na hamas 7.10.2023 kwanini yeye ndio mwili wake uchukuliwe mateka Gaza? Ana umuhimu gani kwa hamas? Kwa mujibu wa msemaji wa serikali ya israeli leo ni kwamba mwili wa Joshua upo Gaza.Utawala wa nchi si upo pamoja na palestina na wapalestina si pamoja na Hamas sisi wananchi tusemeje sasa.
Japo hiyo video ya Jo inafikirisha lakini waislamu baadhi kufurahia kifo cha Joshua Mollel inafikirisha zaidi
Ni watu wanamna gani hawa waislamu kati lbgtq na waislamu ni kundi gani hatari zaidi kwa binadamu wengine
Maana kama Jo angetekwa na mashoga yawezekana angekuwa hai mpaka wakati huu
Lakini katekwa na watu wa allah akbar wakammiminia risasi hadharani na sasa wanakuja na propaganda kuwa yule mkulima alikuwa mwanajeshi wa Israel.
Ndio umeandika nnKumbuka vita sio harus mpaka ualikwe itakapo kukutia kama una mbio kimbia sana kama unapakujifisha jfche uko uko na usjejtokeza kamwe. Jamaa kuvaa gwanda uez jua n stuation gan ilwakuta mpakq wakaenda front na kuvaa gwanda refer mtanzania wa urus vita ilmkutq yuko jela wakataarfiwa watakao enda vtan wakirud wako huru kurud uraian kwann jamaa astumie fursa kumbe yeye ndio fursa yenyew.. kwaio tumwombeen tu kijana mwenzetu mwendo kaumalza kwa stail yake Na hao hamas Walaaniwe
Sawa walienda kwa magari na wakauwa watu 1400 .swali ni kwanini wa uchukue mwili wa Joshua tu kuuteka kwenda nao Gaza? Kwanini hawakuchukua na miili ya wale wengine waliowaua?unafikiri walienda pale kwa mguu? mbona akili yako ndogo sana.
Nimejiuliza hilo swali hata mimi. Kule gaza kwasasa hakuna mafuta, israeli wamekata umeme , hospitali zimelipuliwa je maiti imehifadhiwa wapi? Je mwili wa Joshua upo salama Gaza? Au hamas wameutia chumvi usioze ? Kumbuka mpaka leo ni siku zaidi ya 70 tangu wamuuwe Joshua.Pia ndugu mpenda haki mwenzangu tujiulize, huu mwili wa mtanzania mwenzetu unashikiliwa sehemu gani haswa ndani ya Gaza wakakati tunaambiwa Gaza yote kwa sasa ipo chini ya jeshi la Israel?
Hatuoni kwamba ni maigizo yaleyale ya serkali dhalimu ya Israel kwamba ndugu yetu Joshua mollel aliuawa na Hamas kumbe aliuawa na wayahudi wenyewe ili kutafuta attention duniani?
Tafakari
Hujaelewa maswali yangu. Mwili wa Joshua inadaiwa umeuwawa na hamas tarehe 7.10.2023 ndani ya nchi ya israeli wakati wanafanya tukio la kuuwa wale waisraeli 1400 tunaoambiwa waliwaua sasa nauliza je hamas baada ya kumuua waliamua kuondoka naye kwenda Gaza? Na je kulikua na umuhimu gani wa kuondoka na mwili wa Joshua na kuacha ile miili mingine waliyoua pale kwenye tukio?