Kwa kweli hatua ya kumchagua Anna Makinda hivi (hongera sana) karibuni yanikumbusha namna hadhi ya Bunge na ya lugha ya kitaifa kitakavyokuwa kitaboreka ikiwa tungeachilia mbali desturi ya kutumia neno hiki la "Spika". Mbona hatufanyi maamuzi mahali pake pachukukliwe na "Msemaji Mkuu"?
Wabunge wengine wajulikane kila mmojaa kama "Msemaji" lakini cheo cha juu kipewe heshima ya kuitwa "Msemaji Mkuu". Kwa njia hii, mimi nafikiri wadhifa ya cheo hicho itapewa heshima inayostahiki. Ilibidi kuondoa mabaki ya kizamani ikiwa istilahi ya kisiasa ya asili ya kileo yanapatikana kwa urahisi.
Wabunge wengine wajulikane kila mmojaa kama "Msemaji" lakini cheo cha juu kipewe heshima ya kuitwa "Msemaji Mkuu". Kwa njia hii, mimi nafikiri wadhifa ya cheo hicho itapewa heshima inayostahiki. Ilibidi kuondoa mabaki ya kizamani ikiwa istilahi ya kisiasa ya asili ya kileo yanapatikana kwa urahisi.