Msekwa chunga mdomo wako; Inakuwaje unalaumu Katibu Mkuu kumuita mwanachama kupitia jukwaani lakini hauongelei mwanachama kumjibu kupitia mitandaoni?

Hata akimu-endorse haitasaidia chochote as long as majority ya wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu, ni watu wa Magufuli. Kama hujapita CC nani atakutambua?

Hata Msekwa akimu-endorse haitaleta tofauti yoyote.
Angalia hapa jinsi anavyomu-endorse Rais Magufuli.

Sasa kinakuogopesha kipi kama CC yoote ni watiifu kwa Mwenyekiti?
 
Natamani Sana Kauli ya Mwenyekiti Mstaafu wa CCM mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete naye atoe maoni yake.
Huwezi kumnasa kwenye vita ya maneno hata siku moja kwasababu hana mihemko na mjanja sana.
Vita ya maneno utawanasa watu kama Raisi Magufuli, Raisi Mkapa, Mzee Makamba, Polepole na wengine.
Yeye Mzee Jakaya huongea lugha ya picha tu, na mpaka sasa keshaongea vya kutosha, au hujaona ????????
 
Viongozi wa kibongo kwa kutafuta recognition kwa nguvu huwashindi, eti Lowasa amekuwa mtu wa kuigwa viongozi wa CCM wameanza kumsema vizuri! Kuparurana kwao wanamchomeka mzee wa watu ili a-neutralize.
 
Mzee kashughulika na mzizi so matawi. Aliye anza move vibaya ndio wakukosoa, yule mwingine ka-react kwa mfumo wa ki ustaarabu zaidi ya yule aliyelianzisha!
 
Msekwa alidai yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu, hakufanya hivyo na kwamba kama alitaka kuonana na mwanachama fulani alikuwa akimuita kwa simu ofisini kwake. "Kutangaza hadharani haina maana yoyote. Kuna taratibu za kazi, sasa kukiuka siyo jambo jema hata kidogo."

Hapa Msekwa anaelezea wakati anahudumu hiyo miaka ya 60 aliita watu kwa simu.


Ni vyema, Msekwa asilinganishe ukatibu mkuu wake wa miaka ya 1960s, kipindi ambacho Nchi ilikuwa katika Mfumo wa Chama kimoja na hakukuwepo teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo ambako hujuma inaweza kufanyika na kuleta damage kubwa tofauti na zamani ambako ilikuwa ngumu kuwasiliana kwa niia yoyote.

Hapa Musiba anadai miaka hiyo kulikua hakuna teknolojia kama iliyopo leo.

Sasa najiuliza.

Enzi teknolojia iko chini Msekwa alipigia watu simu.

Leo teknolojia ipo juu Bashiru hapigii watu simu na uzi unaona ni sawa na hoja ni eti siku hizi tek imekua. Siyo ikikua ndiyo kupiga hizo simu inatakiwa isiwe jambo la ajabu na anasa?

Jamani aliyeelewa hizi aya mbili anieleweshe.
 
Spika na Makamu wa CCM Mstaafu, Pius Chipanda Msekwa, akihojiwa na Mwananchi, amemlaumu Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita Ofisi I kwake kada wa CCM, Bernard Membe juu ya tuhuma za kumuhujumu Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Pombe Joseph Magufuli.

Msekwa alidai kuwa, njia aliyotumia Dk. Bashiru iko nje ya utaratibu wa CCM pale kinapohitaji kushughulikia tuhuma dhidi ya mwanachama wake. "Hii approach sijaipenda."

Msekwa alidai yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu, hakufanya hivyo na kwamba kama alitaka kuonana na mwanachama fulani alikuwa akimuita kwa simu ofisini kwake. "Kutangaza hadharani haina maana yoyote. Kuna taratibu za kazi, sasa kukiuka siyo jambo jema hata kidogo."

Hata hivyo, katika namna ya ajabu, Msekwa hajaongelea majibu ya Bernard Membe kupitia akaunti yake mitandaoni akionyesha dharau kwa Katibu Mkuu, Dk. Bashiru.

Ni vyema, Msekwa asilinganishe ukatibu mkuu wake wa miaka ya 1960s, kipindi ambacho Nchi ilikuwa katika Mfumo wa Chama kimoja na hakukuwepo teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo ambako hujuma inaweza kufanyika na kuleta damage kubwa tofauti na zamani ambako ilikuwa ngumu kuwasiliana kwa niia yoyote.

Aidha, Msekwa anapaswa kutambua udhaifu mkubwa ulioonyeshwa na Membe katika kumjibu Katibu Mkuu wake. Hata kama ametumia njia isiyo sahihi, Membe ni nani kumjibu kwa kumdunisha Bashiru kuwa ni mgeni wa kazi?

Mbona Edward Lowassa akina CCM alikuwa akitukanwa majukwaani kila siku na watu wa Membe akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi, Nape Nnauye ambaye baadaye alipewa zawadi na Membe kwa kuachiwa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi? Mbona Msekwa hakujitokeza kuongelea hizo taratibu? Je ni nani alianza kuvuruga utaratibu wa kuwawajibisha Viongozi wakosaji kwa kufuata taratibu?

Ukiangalia kwa undani tabia za baadhi ya makada wa CCM, wakiwemo Membe, Nape Nnauye, Bashe na wengine kibao, hauhitaji kuelimishwa kuwa, wako busy kumkwamisha Rais Magufuli. Fuatilia Gazeti la Hussein Bashe la Mtanzania, utadhangaa kama hili ndilo Gazeti la kada anayeitakia mema CCM.

Njia aliyotumia Dk. Bashiru kumtaja wazi wazi Membe ni bora na muhimu sana na indeed imekuja kwa kuchelewa sana.

Ni wakati wa karma kuchukua nafasi yake. Ulisaidiwa na utawala uliopita kumhujumu Edward Lowassa ili aonekane mbaya na wewe ni mzuri, now it's your turn. "What goes around comes around."

View attachment 955199
Aidha mtoa mada unaakili ndogo au umempatia mtu akushikie kwa muda.

Moja Bashiru ni kiongozi wa taasisi na anamtuhumu (hajahukumiwa) hivyo alipaswa kumuita kwa barua au simu (privately).

Kwa kushindwa kumuita private au njia aliyoamua kumuita basi ilikua ni sahihi kwa Members kutumia Kama sehemu ya kuitikia with. Gabage inn gabage out principle.

Kuhusu Nape Bashe kuikosoa serikali ni haki yao na kimsingi ndio kazi ya mbunge kasome Tena katiba na kazi za bunge no zipi.

Lakini pia Kama ubungo wa mtoa mada upo rational anapaswa kujua ukiwa kiongozi Kuna wengine wanna maono za kiongozi husika, Kuna wenye uwezo mkubwa kiongozi kuliko uongozi huo lakini pia watu wanaweza kuwa na matarajio makubwa. Sasa pale kiongozi anaposhindwa kwenda kulingana na matarajio yao lazima Kuna watakaopenda mpinga waziwazi, kwa kificho n.k

Usimlaumu Msekwa principle za uongozi zipo wazi.
 
Spika na Makamu wa CCM Mstaafu, Pius Chipanda Msekwa, akihojiwa na Mwananchi, amemlaumu Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita Ofisi I kwake kada wa CCM, Bernard Membe juu ya tuhuma za kumuhujumu Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Pombe Joseph Magufuli.

Msekwa alidai kuwa, njia aliyotumia Dk. Bashiru iko nje ya utaratibu wa CCM pale kinapohitaji kushughulikia tuhuma dhidi ya mwanachama wake. "Hii approach sijaipenda."

Msekwa alidai yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu, hakufanya hivyo na kwamba kama alitaka kuonana na mwanachama fulani alikuwa akimuita kwa simu ofisini kwake. "Kutangaza hadharani haina maana yoyote. Kuna taratibu za kazi, sasa kukiuka siyo jambo jema hata kidogo."

Hata hivyo, katika namna ya ajabu, Msekwa hajaongelea majibu ya Bernard Membe kupitia akaunti yake mitandaoni akionyesha dharau kwa Katibu Mkuu, Dk. Bashiru.

Ni vyema, Msekwa asilinganishe ukatibu mkuu wake wa miaka ya 1960s, kipindi ambacho Nchi ilikuwa katika Mfumo wa Chama kimoja na hakukuwepo teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo ambako hujuma inaweza kufanyika na kuleta damage kubwa tofauti na zamani ambako ilikuwa ngumu kuwasiliana kwa niia yoyote.

Aidha, Msekwa anapaswa kutambua udhaifu mkubwa ulioonyeshwa na Membe katika kumjibu Katibu Mkuu wake. Hata kama ametumia njia isiyo sahihi, Membe ni nani kumjibu kwa kumdunisha Bashiru kuwa ni mgeni wa kazi?

Mbona Edward Lowassa akina CCM alikuwa akitukanwa majukwaani kila siku na watu wa Membe akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi, Nape Nnauye ambaye baadaye alipewa zawadi na Membe kwa kuachiwa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi? Mbona Msekwa hakujitokeza kuongelea hizo taratibu? Je ni nani alianza kuvuruga utaratibu wa kuwawajibisha Viongozi wakosaji kwa kufuata taratibu?

Ukiangalia kwa undani tabia za baadhi ya makada wa CCM, wakiwemo Membe, Nape Nnauye, Bashe na wengine kibao, hauhitaji kuelimishwa kuwa, wako busy kumkwamisha Rais Magufuli. Fuatilia Gazeti la Hussein Bashe la Mtanzania, utadhangaa kama hili ndilo Gazeti la kada anayeitakia mema CCM.

Njia aliyotumia Dk. Bashiru kumtaja wazi wazi Membe ni bora na muhimu sana na indeed imekuja kwa kuchelewa sana.

Ni wakati wa karma kuchukua nafasi yake. Ulisaidiwa na utawala uliopita kumhujumu Edward Lowassa ili aonekane mbaya na wewe ni mzuri, now it's your turn. "What goes around comes around."

View attachment 955199
Mkuu mbinu mnazotumia zimebuma.
Mtagombana na kila mtu kwa sasa.
Kubalini kukosolewa ili Tz isonge mbele.
 
Spika na Makamu wa CCM Mstaafu, Pius Chipanda Msekwa, akihojiwa na Mwananchi, amemlaumu Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita Ofisi I kwake kada wa CCM, Bernard Membe juu ya tuhuma za kumuhujumu Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Pombe Joseph Magufuli.

Msekwa alidai kuwa, njia aliyotumia Dk. Bashiru iko nje ya utaratibu wa CCM pale kinapohitaji kushughulikia tuhuma dhidi ya mwanachama wake. "Hii approach sijaipenda."

Msekwa alidai yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu, hakufanya hivyo na kwamba kama alitaka kuonana na mwanachama fulani alikuwa akimuita kwa simu ofisini kwake. "Kutangaza hadharani haina maana yoyote. Kuna taratibu za kazi, sasa kukiuka siyo jambo jema hata kidogo."

Hata hivyo, katika namna ya ajabu, Msekwa hajaongelea majibu ya Bernard Membe kupitia akaunti yake mitandaoni akionyesha dharau kwa Katibu Mkuu, Dk. Bashiru.

Ni vyema, Msekwa asilinganishe ukatibu mkuu wake wa miaka ya 1960s, kipindi ambacho Nchi ilikuwa katika Mfumo wa Chama kimoja na hakukuwepo teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo ambako hujuma inaweza kufanyika na kuleta damage kubwa tofauti na zamani ambako ilikuwa ngumu kuwasiliana kwa niia yoyote.

Aidha, Msekwa anapaswa kutambua udhaifu mkubwa ulioonyeshwa na Membe katika kumjibu Katibu Mkuu wake. Hata kama ametumia njia isiyo sahihi, Membe ni nani kumjibu kwa kumdunisha Bashiru kuwa ni mgeni wa kazi?

Mbona Edward Lowassa akina CCM alikuwa akitukanwa majukwaani kila siku na watu wa Membe akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi, Nape Nnauye ambaye baadaye alipewa zawadi na Membe kwa kuachiwa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi? Mbona Msekwa hakujitokeza kuongelea hizo taratibu? Je ni nani alianza kuvuruga utaratibu wa kuwawajibisha Viongozi wakosaji kwa kufuata taratibu?

Ukiangalia kwa undani tabia za baadhi ya makada wa CCM, wakiwemo Membe, Nape Nnauye, Bashe na wengine kibao, hauhitaji kuelimishwa kuwa, wako busy kumkwamisha Rais Magufuli. Fuatilia Gazeti la Hussein Bashe la Mtanzania, utadhangaa kama hili ndilo Gazeti la kada anayeitakia mema CCM.

Njia aliyotumia Dk. Bashiru kumtaja wazi wazi Membe ni bora na muhimu sana na indeed imekuja kwa kuchelewa sana.

Ni wakati wa karma kuchukua nafasi yake. Ulisaidiwa na utawala uliopita kumhujumu Edward Lowassa ili aonekane mbaya na wewe ni mzuri, now it's your turn. "What goes around comes around."

View attachment 955199
Hivi wewe ni jinsia gani? tuanzie hapo kwanza,ulichoandika ni zaidi ya kifusi cha takataka
 
Nikuhakikishie tu kwamba Pius Msekwa hatakuwa mtu wa mwisho kuwashambulia hawa mamluki ndani ya Chama. Hivyo wewe jipange sana tu katika kutoa hii mikwara bubu, "Eti Msekwa chunga mdomo wako". Hivi hata unajua Msekwa ni nani hapa nchini, au hata unafahamu mchango wake ???
 
Malcom Lumumba, wewe ni miongoni mwa wana jf waliojaaliwa ubongo, kubisha na huyu killazzar sio size yako..
Hassan Ngoma: Musiba ni spika tu inayotoa sauti, Dr. Bashiru ashughulike na waya wa spika! - JamiiForums

.
Nikuhakikishie tu kwamba Pius Msekwa hatakuwa mtu wa mwisho kuwashambulia hawa mamluki ndani ya Chama. Hivyo wewe jipange sana tu katika kutoa hii mikwara bubu, "Eti Msekwa chunga mdomo wako". Hivi hata unajua Msekwa ni nani hapa nchini, au hata unafahamu mchango wake ???
 
Katibu katumia Twita, Membe katumia Twita.Msekwa anamshutumu Katibu pekee kuwa kakosea bila kumshutumu Membe
Anapaswa kushutumiwa ni kiongozi ambaye alipaswa kuonesha njia,anatakiwa kubeba shutuma hizo ili next time asirudie na asiwafanyie the same thing anaowaongoza.Au na wew una akili za ngamia hujui ethics za leadership?
 
Katibu katumia Twita, Membe katumia Twita.Msekwa anamshutumu Katibu pekee kuwa kakosea bila kumshutumu Membe
Mchawi ni aliyeanzisha...pia kumbuka kuwa Membe ni mwanachama wa kawaida tu but Bashiru ni kiongozi
 
Hata akimu-endorse haitasaidia chochote as long as majority ya wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu, ni watu wa Magufuli. Kama hujapita CC nani atakutambua?

Hata Msekwa akimu-endorse haitaleta tofauti yoyote.
Angalia hapa jinsi anavyomu-endorse Rais Magufuli.


watu ugeuka... hawa aminiki na usi waamini kamwe... eti wa magu... eti check anavyo mpa chapuo Magu... alafu huyo huyo anapiga utaratibu...

Shida ipo nchi hii...
 
We ni ajabu sana, katibu mkuu ndio alieanza kwa zarau yeye ndio alieanza kumuita kwa kutumia vyombo vya habari ambalo si jambo jema. Membe nae kamjibu vizuri tu mitandaoni
 
Spika na Makamu wa CCM Mstaafu, Pius Chipanda Msekwa, akihojiwa na Mwananchi, amemlaumu Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita Ofisi I kwake kada wa CCM, Bernard Membe juu ya tuhuma za kumuhujumu Rais na Mwenyekiti wa CCM, Dk. John Pombe Joseph Magufuli.

Msekwa alidai kuwa, njia aliyotumia Dk. Bashiru iko nje ya utaratibu wa CCM pale kinapohitaji kushughulikia tuhuma dhidi ya mwanachama wake. "Hii approach sijaipenda."

Msekwa alidai yeye aliwahi kuwa Katibu Mkuu, hakufanya hivyo na kwamba kama alitaka kuonana na mwanachama fulani alikuwa akimuita kwa simu ofisini kwake. "Kutangaza hadharani haina maana yoyote. Kuna taratibu za kazi, sasa kukiuka siyo jambo jema hata kidogo."

Hata hivyo, katika namna ya ajabu, Msekwa hajaongelea majibu ya Bernard Membe kupitia akaunti yake mitandaoni akionyesha dharau kwa Katibu Mkuu, Dk. Bashiru.

Ni vyema, Msekwa asilinganishe ukatibu mkuu wake wa miaka ya 1960s, kipindi ambacho Nchi ilikuwa katika Mfumo wa Chama kimoja na hakukuwepo teknolojia ya mawasiliano kama ilivyo leo ambako hujuma inaweza kufanyika na kuleta damage kubwa tofauti na zamani ambako ilikuwa ngumu kuwasiliana kwa niia yoyote.

Aidha, Msekwa anapaswa kutambua udhaifu mkubwa ulioonyeshwa na Membe katika kumjibu Katibu Mkuu wake. Hata kama ametumia njia isiyo sahihi, Membe ni nani kumjibu kwa kumdunisha Bashiru kuwa ni mgeni wa kazi?

Mbona Edward Lowassa akina CCM alikuwa akitukanwa majukwaani kila siku na watu wa Membe akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi, Nape Nnauye ambaye baadaye alipewa zawadi na Membe kwa kuachiwa Jimbo la Mtama, mkoani Lindi? Mbona Msekwa hakujitokeza kuongelea hizo taratibu? Je ni nani alianza kuvuruga utaratibu wa kuwawajibisha Viongozi wakosaji kwa kufuata taratibu?

Ukiangalia kwa undani tabia za baadhi ya makada wa CCM, wakiwemo Membe, Nape Nnauye, Bashe na wengine kibao, hauhitaji kuelimishwa kuwa, wako busy kumkwamisha Rais Magufuli. Fuatilia Gazeti la Hussein Bashe la Mtanzania, utadhangaa kama hili ndilo Gazeti la kada anayeitakia mema CCM.

Njia aliyotumia Dk. Bashiru kumtaja wazi wazi Membe ni bora na muhimu sana na indeed imekuja kwa kuchelewa sana.

Ni wakati wa karma kuchukua nafasi yake. Ulisaidiwa na utawala uliopita kumhujumu Edward Lowassa ili aonekane mbaya na wewe ni mzuri, now it's your turn. "What goes around comes around."

View attachment 955199
Wewe usimlaumu mzee msekwa bila kujua historia ya CCM. Mzee msekwa anahaki ya kumkemea Bashiru kwani huyu Mzee ni mmojawapo wa waasisi wa CCM waliohai. Pili fahamu kuwa mbali ya Mzee msekwa kuwa katibu Mkuu wa kwanza wa CCM alishiriki kikamilifu kuandika katiba ya CCM. Hakuna kiongozi yeyote anaweza kuacha CCM iendeshwe na Katibu Mkuu bila kufuata taratibu za chama.
Kidumu chama cha mapinduzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom