Msekwa: CCM imepoteza sifa asili

Msekwa: CCM imepoteza sifa asili

lile fisadi lingine la CHADEMA lililohukumiwa na bunge kuwa fisadi la kutupwa CHADEMA mkalipa ugombea Uraisi unalisemeaje?
Yote yale mafisadi tena lile jeupe la monduli lifisadi kuu nashangaa sijui kwanini serikali zetu linalificha bila kulifunga yaani serikali ya ccm bhana yenyewe maneno tu na uswahil mwing
Jitu jizi linaachwa mpk linafanya hatua ya kugombea uraisi
Kidogo lishinde
 
Msekwa kaona hilo na hii vyama vyote tu vikipata chanc lazima matajiri kujipenyeza hakuna chama kitakosa matajiri labda kiwe hakina mwelekeo wa kuchukua nchi
 
Tumeuziwa mbuzi kwenye gunia

Hata malaika Mbinguni WANAJUA kuwa ccm haina na haijawahi kuwa na nia ya kumkomboa mtanzania
We mwenyewe fikiria jitu fisadi linapewa uenyekiti wa bunge
Mkuu nani huyo fisadi aliyepewa uenyekiti bungeni
 
Tumeuziwa mbuzi kwenye gunia

Hata malaika Mbinguni WANAJUA kuwa ccm haina na haijawahi kuwa na nia ya kumkomboa mtanzania
We mwenyewe fikiria jitu fisadi linapewa uenyekiti wa bunge
Kwahiyo chama gani kinafaa kwa sasa?
 
Kwahiyo chama gani kinafaa kwa sasa?
CUF waswahili sana hawaaminiki
CHADEMA wanafki hatuwataki tena
CCM mafisadi ya jiandae kuwa kuni jehanamu
ACT hawaeleweki sijui ni wa msimu
Kifupi picha linaanza vyama vyote chengasi
 
CUF waswahili sana hawaaminiki
CHADEMA wanafki hatuwataki tena
CCM mafisadi ya jiandae kuwa kuni jehanamu
ACT hawaeleweki sijui ni wa msimu
Kifupi picha linaanza vyama vyote chengasi
Yani ni kichefuchefu mkuu
 
Haya kina Jenerali Twaha Ulimwengu , marehemu Horace Kolimba walishayaona miaka mingi.
Wakati yeye Pius Msekwa akiwa Mtendaji mkuu CCM.
 
mzee ameongea. mda si mrefu ataonekana kuwa ni adui

Tokea Hapo Ni ADUI ALIYETUKUKA Tayari Kwani TARATIBU Zote Za KUKIKOSOA Chama ANAZIJUA Lakini Yawezekana UZEE Wake Umemuijia Vibaya. Vyeo Viko Vingi Bado Na ASILAZIMISHE ( Naomba Nisimtaje ) Awe KIONGOZI Kwa Hicho CHEO Anachokitaka Yeye Apewe. Tunamuheshimu Sana Ila Atulie Na Awaige Wazee Wenzie Ambao WAMETULIA TULI! au Anaona WIVU Labda Kwakuwa HAJAALIKWA IKULU au Hata KUTEMBELEWA Na Msubi Kama Walivyofanya au Kufanyiwa Wengine? Naomba Niishie Hapa TAFADHALI.
 
lile fisadi lingine la CHADEMA lililohukumiwa na bunge kuwa fisadi la kutupwa CHADEMA mkalipa ugombea Uraisi unalisemeaje?
Pccb ya kwenu
Polisi wa kwenu
Mahakama za kwenu
Hili fisadi Lowasa limewatia mfukoni kiasi gani mpaka mshindwe kulikamata na kulifunga?
 
Pius Msekwa ni mmoja ya wanasiasa waandamizi ndani ya ccm lakini uzalendo kwa ccm unanitia mashaka. Kwanini? Anaifahamu fika misingi na malengo ya ccm kwa ustawi wa wananchi wa taifa hili. Cha ajabu, pale ccm ilipoacha misingi na malengo yake sikumsikia akipiga kelele na kukemea umakundi, ufisadi, matajiri kukiteka chama nk. kama alivyokuwa akifanya mzee Butiku. Alikaa kimya kana kwamba yanayotokea si kitu kwake. Au alikuwa akifukuza mwizi kimya kimya? Kama ni hivyo bila shaka atakuwa amelieleza katika kitabu chake.

Aliyoyaeleza yanaelekea kuwa historia kwani ccm inaonyesha dalili za kuzaliwa upya. Namshauri arukie gari mchana kweupe katika safari ya kukijenga chama chetu upya kwani jk amechoka anaenda pumzika na jpm anampokea usukani. Hima usichelewe.
 
mtu anatukana kivuli chake kuwa kibaya wakati kinamwakisi yeye mwenyewe
 
Sasa mwanao akijisaidia kwenye kibaraza suluhisho lako wewe unaenda kujisaidia sebuleni ili ujibu mapigo kwakweli tuna kazi sana....nashukuru mimi siyo mfugwa wa vyama ni Mtanzania mwenye mawazo huru
lile fisadi lingine la CHADEMA lililohukumiwa na bunge kuwa fisadi la kutupwa CHADEMA mkalipa ugombea Uraisi unalisemeaje?
 
Si ndo huyu aliyegombea uspika wa bunge akakatwa!!??
 
Tokea Hapo Ni ADUI ALIYETUKUKA Tayari Kwani TARATIBU Zote Za KUKIKOSOA Chama ANAZIJUA Lakini Yawezekana UZEE Wake Umemuijia Vibaya. Vyeo Viko Vingi Bado Na ASILAZIMISHE ( Naomba Nisimtaje ) Awe KIONGOZI Kwa Hicho CHEO Anachokitaka Yeye Apewe. Tunamuheshimu Sana Ila Atulie Na Awaige Wazee Wenzie Ambao WAMETULIA TULI! au Anaona WIVU Labda Kwakuwa HAJAALIKWA IKULU au Hata KUTEMBELEWA Na Msubi Kama Walivyofanya au Kufanyiwa Wengine? Naomba Niishie Hapa TAFADHALI.
Ulichokiandika hapa hukijui au unakijua umeamua kupotosha Mzee Msekwa ni mmoja wa inner cycle ya wazee wanaomshauri Magufuli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom