Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
GpA?Bc compuiter science,engineering
Actuaria science, bcs mathematics etc (udsm)
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
GpA?Bc compuiter science,engineering
Actuaria science, bcs mathematics etc (udsm)
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
fala ww huna unachojua.
ndo maana nakwambia we ni fala,huna unachojua,na bado una mentality za kitoto zile za kushindanisha combination.Hiloo kubwa jinga . Unataka usome mathematical modelling huku advance umesoma hkl
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Shukran sistaData science ndio nzuri hyo mathematical modeling labda ka wataka kuwa mwalimu
Ujinga huu hizo blaa blaa mimi zinanihusu ninndo maana nakwambia we ni fala,huna unachojua,na bado una mentality za kitoto zile za kushindanisha combination.
ngoja ss nikueleze maku ww ,advance level nimesoma EGM, nikapata scholarship nimesoma canada degree ya Economics and Statistics nikapata first class. nimemaliza nikasoma masters ya computer science with focus in Data science, ,nilisomaje masters ya CS nikiwa na background ya Ecconomics, kazi kwako kujua matako ww!!
tofauti ya izo masters models mbili ni upi?
Unajua wewe ni mjinga umeshindwa hata kuelewa mzizi wa mada. Hizi ndio degree za chupihuna unachojua kuhusu Data Science tulia uelimishwe maku ww
we ni maku,umeulizwa undergraduate umesoma nn hujajibu unamanga manga tu .unataka msaada alafu unaleta ujuaji.Unajua wewe ni mjinga umeshindwa hata kuelewa mzizi wa mada. Hizi ndio degree za chupi
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Thesis ni research mwanzo mwishotofauti ya izo masters models mbili ni upi?
kwa izo qualifications inaonesha dhairi by thesis ni mbaya yan mbovuThesis ni research mwanzo mwisho
Hiyo nyingine utafanya course work ,kisha utamalizia dessertation
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kivip mkuukwa izo qualifications inaonesha dhairi by thesis ni mbaya yan mbovu
sawa ipi ni mastersmodel nzur kati ya izo mbili?
Aisee,,,Mimi nakushauri kama unataka data science, usiisome data science, ila itafute kozi nyingine ambayo ndani ina data science ndio usome, sababu data ni kitu kidogo sana, na zipo kwenye kila somo wanawatu wanazianalyze na kuprocess kutumia software mbalimbali. Usipoteze akili yako na pesa kwa kusomea data tu,
wabongo mmekariri sana maisha,aliekwambia kwamba sociologist hawezi kusoma data science ni nani??? ma vyuo yenu ya hovyo hovyo yamewafanya kuwa na upeo mdg sana!
Braza, hawa hawatakuelewa, kwanza ni aidha ni vitoto vidogo au akili zimefubaa na vumbi....haiwezekani kwenye hayo ma vyuo yenu ya hovyo,nje ni very possible, data science inamatch vizuri tu na kozi za social science!