Msanii wa Muziki, Waziri Ally Kissinger wa The Kilimanjaro Band (wana Njenje) amefariki dunia usiku huu katika Hospitali ya Mwananyamala.
View attachment 1865139
View attachment 1865142
Very very dangerousApumzike kwa amani ?
View attachment 1865141
Tanzia: aliyekuwa mwanamuziki na muasisi wa bendi ya njenje bwana waziri Ally amefariki dunia.
Marehemu amefariki dunia leo majira ya jioni katika hospitali ya Mwananyamala alikokuwa akipatiwa matibabu
Waziri gani mkuu uliye zani? Maana dahNilidhani ni waziri wa....... Nimekuja speed 🤪🤪🤪🤪
Ayubu 1:21RIP Waziri!! Daima tutamkumbuka Wazee wa Mduara!!! Amefanya makubwa katika muziki wa Tanzania !! Pumzika Baba!!!
Hapana mbona leo ndio kaaga duniaHuyu amekufa mara ya pili? Mbona kama niliona tangazo lake hapa wakati wa wimbi la kwanza?
Hapana mbona leo ndio kaaga dunia
Mkuu Kiko speed sana hichi kidudu🤣🤣Apumzike kwa amani☹️ ? 👇
View attachment 1865141