CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Ajali ni Ajali ila ajali ya lori kusinya bajaji sio AJALI hiyo ni one way ticket to aheraSasa mkubwa kwakua magari, ndege na zenyeqe zinapata ajali na kufinyangwa, umewapiga marufuku kutumia hivyo vyombo pia?