Juzi nimesikia habari kwenye kipindi cha heka heka kinachoongozwa na mtangazaji gea habibu kwamba kuna msanii kabaka na kumlawiti msanii mwenzie ama kweli tutackia mengi mwaka huu na maovu yao,,,mwenye updates kamili atushushie mapicha tumjue plzzzz
Acheni udaku unauhakika na uyasemayo .... ivi jamani mnamchukuliaje obama na kauli yake ya ndoa za jinsia moja .. mi naona anataka kjfeva shoga nn hata wananch wake wanapnga kutogtambua bwana kwel mtihan jaman!! Npen vwz zenu !! Alafu vp kuhusu kesi ya mtoto lulu inaendeleaje sajuki je
naomba kumtetea gwambali,
mimi pia nilisikia kwenye hekaheka
clouds fm ila Gea hakumtaja mbakaji wala
mlawitiwa
udaku kama kawaida, sasa umesikia hujapata info za kutosha unakuja kupayuka hapa....argggggghhhh
Acheni udaku unauhakika na uyasemayo .... ivi jamani mnamchukuliaje obama na kauli yake ya ndoa za jinsia moja .. mi naona anataka kjfeva shoga nn hata wananch wake wanapnga kutogtambua bwana kwel mtihan jaman!! Npen vwz zenu !! Alafu vp kuhusu kesi ya mtoto lulu inaendeleaje sajuki je