Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Baada ya kufulia kwenye music wanakimbilia kwenye siasa.
Hata makongoro mahangaiko alipofulia kwenye fan kakimbilia siasa kwani huji hilo?Baada ya kufulia kwenye music wanakimbilia kwenye siasa.
Mkuu Elli inabidi tukupe jukumu ukamfanyie kazi yule mzee shauri ilii naye ajiunge na vijana.