Msanii Rashid Makwiro "Chid Benz", amshauri Makonda aboreshe Segerea akute pazuri akienda


Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu jamaa kwa hayo aliyoyasema basi asubiri kesi ya kubambikiwa!
 
Hahaha, Chid kaongea ukweli kabisa na kasema wasanii mwisho wa siku wao wanachotaka ni pesa tu na si kingine.

Ila ushauri aliompa makonda ni mzuri sana kama mawaziri wapo kule yeye nani siku moja asiende kama atakuwa na makosa?? So ajitengenezee kesho yake kwa kuweka mazingira sawa.
 

Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Makamanda bana...hapo angemsifia Makonda matusi yake yasingekuwa ya dunia hii
 
Huyu jamaa Yuko vizuri media ndo zinachangia kumshusha

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
 
Yani Child kusema ivo ndio eti ana akili sana, Yani upinzani hamna cha kujitetea kabisa kila anaempinga magufuli kwenu ni bora sana hata kama hana logic yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: KGM
Yani Child kusema ivo ndio eti ana akili sana, Yani upinzani hamna cha kujitetea kabisa kila anaempinga magufuli kwenu ni bora sana hata kama hana logic yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajampinga magufuli. Kamuelekeza makonda asibase na mambo ya wasanii na michezo afanye mambo yenye tija kama kuboresha magereza maana anaweza kwenda yeye na hata magufuli. Unasema hiyo sio point kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom