Msanii nisie muelewa

Msanii nisie muelewa

abunerimgaya

Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
78
Reaction score
15
menzenu Timbolo simuelewagi kabisaa
hata nyimbo yake ikipigwa club huwa natoka nje

wenzangu msanii gani hamumuelewagi?
 
Pasha mi haniingii akilini kabisa.
Hata mimi huyu dogo simuelewi pamoja na baba levo mwili mkuuuuubwaa akili hana hata kidogo...Ben pol anajua kuimba ila simpendi kwa sababu demu wangu anampenda sana huyu dogo mpaka sio vizuri yani!!
 
Hata mimi huyu dogo simuelewi pamoja na baba levo mwili mkuuuuubwaa akili hana hata kidogo...Ben pol anajua kuimba ila simpendi kwa sababu demu wangu anampenda sana huyu dogo mpaka sio vizuri yani!!

Angalia usije ukachukuliwa mupendhi.
 
Hata mimi huyu dogo simuelewi pamoja na baba levo mwili mkuuuuubwaa akili hana hata kidogo...Ben pol anajua kuimba ila simpendi kwa sababu demu wangu anampenda sana huyu dogo mpaka sio vizuri yani!!

Dah haya bana.
 
Hata mimi huyu dogo simuelewi pamoja na baba levo mwili mkuuuuubwaa akili hana hata kidogo...Ben pol anajua kuimba ila simpendi kwa sababu demu wangu anampenda sana huyu dogo mpaka sio vizuri yani!!
Jombaa unalo
 
huyu anejiita ney hiv hamuogopi hata mungu anawakashifu viongozi waliochaguliwa na mungu hasa huyu G.Wakatale.
 
Pig Black na kibao chake nn mnataka Mazeeeee
 
Temba

Madee

Hawa bora wangefanya kazi nyngne ila si kuimba sijawah kuwaelewa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom