Nyoxhimself
New Member
- Sep 5, 2017
- 2
- 0
habari humu ndani wapendwa. mimi ni msanii wa bongo fleva ( sijajulikana bado)nafanya R&B,Hip hop (commercial) na aina nyingine. natafuta management ili niweze kutoa kazi zangu nilizo nazo na ntakazo endelea kufanya. hivo basi kama kuna yeyote atakua interested na mm anipe mawasiliano nimtafute....hatojuta kufanya kazi na mm. Ni hayo tuu. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app