Apelekwe JKT wiki 2 tu! Ataelewa nini maana Geshi! Na Gwanda zake na heshima nidhamu kWa Geshi!!!
poleni sana msiofanya maendeleo yenu binafsi kwa kupoteza muda wa kufuatilia maisha ya watu wengine wanaopiga hatua daily...
poleni sana msiofanya maendeleo yenu binafsi kwa kupoteza muda wa kufuatilia maisha ya watu wengine wanaopiga hatua daily...
Polisi walimshikilia kwa kosa gani hapa nchini hakuna sheria inayokataza raia kuvaa kombati isipokuwa kuna makatazo ya kihuni yasiyokuwa na nguvu ya kisheria, polisi wamepoteza weredi wa kusimamia utekelezaji wa sheria.
acha kuropoka Mbwa wewe
una uhakika kwamba hamna sheria au unabwabwaja tu
rudi kasome sheria za nchi vizuri
Huyu mtoto mchawi sana wasingemuachilia,wangempa masharti magumu ya dhamana kwani atavuruga kesi kwa ulozi.Mama yake akimjambia kesi kwishaaa!!!
alishikiliwa polisi ktuo gani mtoa mada?