Huyu alikuwa muendesha bodaboda pale kimanga..haya mambo ya kuwa msanii yametoka wapi?
Kumbe unamjua, hata mimi nimeshangaa sana.
Huyu jamaa alikuwa bodaboda na alikuwa na genge hapa jirani na ABC pub. Mara ya mwisho alikuwa anauza mdogo wake na tangu aondoke, hata wiki mbili hazikuisha na yeye ndio ameaga dunia.
Nyepesi za hapa kitaa zinasema hivi huyu mdodgo wake ana zaidi ya miaka nane tangu aletwe na kaka yake huyu.
Na tangu atoke Rombo hajawahi kurudi na hata alipoomba kurudi kusalimia tu, alikataliwa.
Kwa hiyo maisha yake yote tangu anafika yamekuwa ni ya hapo Gengeni huku yeye na shemeji yetu wakiwa wamepanga maeneo ya Kimanga hapahapa.
Nyepesi hazikuishia hapo, zinasema eti dogo hata nguo alikuwa hanunuliwi licha ya kukesha gengeni kwa muda wote huo. Akitaka nguo alikuwa akirushiwa tu (used pambas) alizokuwa akivaa sharo huyu ambaye muda wote alionekana bring bring full macheni nk.
Ile siku ya tukio alimwaga mkewe kwamba anaenda kuchukua mzigo wa genge kule Mabibo na kwa bahati mbaya tunaamka asubuhi tunasikia mauti yameshamkuta kabla hata ya kuchukua mzigo, kwa hiyo hapa hela ya mzigo ilipotelea pale pale alipopata ajali.
Mdogo wake kwenda Rombo ni kama alikuwa anaenda kutoa taarifa za msiba tu, kwa sababu amekaa miaka zaidi ya nane hajaenda, na anapoenda tu, braza anaaga dunia nyuma.
R.I.P
Kumbe unamjua, hata mimi nimeshangaa sana.
Huyu jamaa alikuwa bodaboda na alikuwa na genge hapa jirani na ABC pub. Mara ya mwisho alikuwa anauza mdogo wake na tangu aondoke, hata wiki mbili hazikuisha na yeye ndio ameaga dunia.
Nyepesi za hapa kitaa zinasema hivi huyu mdodgo wake ana zaidi ya miaka nane tangu aletwe na kaka yake huyu.
Na tangu atoke Rombo hajawahi kurudi na hata alipoomba kurudi kusalimia tu, alikataliwa.
Kwa hiyo maisha yake yote tangu anafika yamekuwa ni ya hapo Gengeni huku yeye na shemeji yetu wakiwa wamepanga maeneo ya Kimanga hapahapa.
Nyepesi hazikuishia hapo, zinasema eti dogo hata nguo alikuwa hanunuliwi licha ya kukesha gengeni kwa muda wote huo. Akitaka nguo alikuwa akirushiwa tu (used pambas) alizokuwa akivaa sharo huyu ambaye muda wote alionekana bring bring full macheni nk.
Ile siku ya tukio alimwaga mkewe kwamba anaenda kuchukua mzigo wa genge kule Mabibo na kwa bahati mbaya tunaamka asubuhi tunasikia mauti yameshamkuta kabla hata ya kuchukua mzigo, kwa hiyo hapa hela ya mzigo ilipotelea pale pale alipopata ajali.
Mdogo wake kwenda Rombo ni kama alikuwa anaenda kutoa taarifa za msiba tu, kwa sababu amekaa miaka zaidi ya nane hajaenda, na anapoenda tu, braza anaaga dunia nyuma.
R.I.P
Huyu alikuwa muendesha bodaboda pale kimanga..haya mambo ya kuwa msanii yametoka wapi?