mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
- Thread starter
- #41
Hii nyimbo kama wamelipia production hela imeenda bure kabisa.
Rudia kuisikiliza no ngoma kubwa Sana aisee
Hii nyimbo kama wamelipia production hela imeenda bure kabisa.
Rudia kuisikiliza no ngoma kubwa Sana aisee
Yeah I think you know good music dude hiyo namba 4 Ni hatari Sana
Kama mike t ningekuwa star
Kama ningekuwa Na mkwanja kachaa
Dah wacha kabisa mkono wa Mdachi .
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
Mdachi alikua anapika midundo mitamu yenye ujazo....
Leo nimebahatika sikiliza wimbo mpya wa msanii mkongwe Mike T Clouds FM, unaitwa umenikutaga, hakika jamaa karudi vizuri Sana na wimbo wake utasumbua Sana.
Nikiwa Kama shabiki wazamani wa nguli huyu, nampongeza kwa kazi Hii nzuri na Classic chini ya upishi wa Maco Chali.
Nyimbo hii haiwezi leta ushindani kwenye game kwa sasa, jipange Mnyalu wa Mwakaleli..
Huu wimbo si m'baya wala sio mzuri kivile,ila kwavile alipotea hii ni kama anatukumbusha kuwa nipo,kisha ndio atoe goma la kueleweka.
hiyo ni idea ya 50 cent kwenye 21 QuestionsUmesahau Je Utanipenda, idea iliyorudiwa na Diamond
link iko wapiGonga link hapo juu ukisikie kishindo..
☝
link iko wapi
ni ngumu sana kurudi kama zaman,,huup wimbo wake hautafika mbali sana kwa kizazi cha wasanii wakina diamond,darassa,ally k,,