Msanii Kajala katupwa rumande

Msanii Kajala katupwa rumande

Watu wengi wengine wajinga kweli. Wanaingiza mambo ya movie katika maisha halisi?? Acheni upumbavu mtaumia bureee.
 
kusema kweli wasanii wa bongo movie wa kike wananichefua ila kajala namuonea huruma,kapitia mengi mtoto wa watu.Mi naona anafungwa kwa makosa ya mumewe,wanawake wengi wameolewa na wanaume waliowakuta na mali nyingi lkn bila wasiwasi wameolewa bila kuhoji mijumba na magari vimetoka wapi na haya hayajawakuta,kajala ana bahati mbaya tu kufikwa na haya,haya yangeweza kumpata mwanamke yeyote sio kwa vile kajala ni bongo movie star basi tusimuonee huruma.
 
Ufudu ni bingwa wa salamu, muulize Gee, yaani wee cha mtoto.

Usiondoke bana mbona pako poa tu? tunauza chai tu hapa na mahindi choma.
Asante hizo salama zimefika mamii...
Hahahahaha! Nimemkumbuka aliwahi kusalimia mpaka kuku lol...

Umenikumbusha mbali sana mpendwa manake siku ile nilicheka sana baada ya zile salamu za mr. Ufudu..

Sikujua kumbe mlileta mabaunsa kuja kurekebisha hali ya hewa ningejua nisingekimbia asee!
 
dah lakin demu kaingizwa chaka na yule pedeshee wake faraji sijui,ila huyu mchumba huwa namuona mtulivu sana kiaina hakupaswa kuingia kwenye huu msala,angeingia wema aaah full bata ningemwambia bro wangu askari magereza ajichukulie mke kilainii
 
Kakosea hapo huyu mkuu
Mi naona kubadilisha hati ya kiwanja hicho pasipo halali na kisha pesa hizo wakazitakasa kama halali
Kutakatisha pesa ni njia inayotumika kuhalalisha pesa iliyopatikana kwa njia za jinai mfano pesa za rushwa, za wizi, au za madawa ya kulevya. Kwa bongo ni ngumu kuelezea kwani watu wanachukulia hizi kama njia halali za kuwin life kibongobongo.
 
dah lakin demu kaingizwa chaka na yule pedeshee wake faraji sijui,ila huyu mchumba huwa namuona mtulivu sana kiaina hakupaswa kuingia kwenye huu msala,angeingia wema aaah full bata ningemwambia bro wangu askari magereza ajichukulie mke kilainii
Bab unamjua kajala au unamsikia?huyo gwiji kitambo hata huyo wema sepetu yupo shule ya msingi!kachelewa tu kuutafuta umaarufu wa magazetini ila hapo hamna demu kitambo!watu waliokuwa wanatimba katika maconcert kitambo ndo wanajua habari yake au kama tanesco enzi za pazi muhudhuriaji!alikuwa bingwa wa kuvua nguo stejini enzi za talent za taji liundi pale fm na cine!kaanza kugawa tigo tangu enzi za buzz na mobitel!
 
Kwa kuanza kumsaidia mimi najitolea kumfuta Tatoo zote mwilini kwako mpaka ile iliyochorwa kuuzunguka mtandao wake.
Frii ofu chaji...
 
Back
Top Bottom