sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Za masiku tele..hujamtmjua Fide matron, hapo mwangalie huyo mlimbwende kisha ujipe majibu...chezeiya Fide weweee !!!
Za masiku tele..hujamtmjua Fide matron, hapo mwangalie huyo mlimbwende kisha ujipe majibu...chezeiya Fide weweee !!!
"kutakatisha fedha" ndio kufanya nini?
Za masiku tele..
ukoje huo? maana naona una insist....
kutoa fedha bandia kutoka sehemu flani na kuzipeleka sehemu nyingine na kuzitumia kihalali,kwa shughuli halali
Wewe umejuaje kuwa kampiga hizo tattoo??acheni mambo ya umbea. nyie yana wahus nini.
simple mind discus people.
acha kunikoti wewe. wapi nimeandika mambo ya tatuu.Wewe umejuaje kuwa kampiga hizo tattoo??
Kwani umeona hapa tunadiscuss about wanyama au miti....? Tueleze ni lipi tuzungumze hapa bila kumgusa mwana wa adamu...!ni upuuzi kudiskas watu kutwa kucha.
simple mind discuss people
Hahaha! Sijawahi kumsikia bee, afu hapa naona pamechafuka, wacha mie nisepe zangu lol...nzuri mwaya, za kutakatisha faranga???
hahahaaa SL ulishawahi kumsikia mtu anaitwa UFUDU hapa JF?
Kakosea hapo huyu mkuu
Mi naona kubadilisha hati ya kiwanja hicho pasipo halali na kisha pesa hizo wakazitakasa kama halali
Ufudu ni bingwa wa salamu, muulize Gee, yaani wee cha mtoto.Hahaha! Sijawahi kumsikia bee, afu hapa naona pamechafuka, wacha mie nisepe zangu lol...
Zaidi sana am happy vile we hujambo! Nifikishie salam zangu kule mahali petu!
Kwaheri manake hapa sirudi tena!
Huyu dada nae mume wake ana moyo, P-Funk amempiga tattoo mwabwepande, mferejimaringo kote ni signature ya majani, sijui kila akimvulia na akiona hayo matattoo sijui anamtathimini vipi mpenzi wake?
ooh okie dokie smokie
Halafu sasa, ukiwa na kosa lisilodhaminika huruhusiwi kuja mahakamani?
Interesting...