Msanii Jux amaliza masomo yake nchini China!!!

Bado Mondi....anachukua Masta yake katika chuo Kikuu anachomiliki ZARI the Boss..

South Afrika... Wasafi Classic Baby...!!
 
Mkuu Mbona Bashite kamaliza MUCCOBS au? Nadhani kosa la Bashite ni kutumia cheti cha mtu form four the rest mbona katusua vizuri tu, kuanzia astashahada hadi shahada ya kwanza.

Unajua Bashite kasoma muda gani Muccobs?
 
nimeshangaa sana ka-graduate mwaka 2017 wakati kwa takribani miaka sita tulikuwa tunaambiwa anasoma huko uchina.

au alikuwa anasomea udaktari na upadre?.maana kusoma udaktari au upadre huchukua si chini ya miaka 5 hadi saba.
hahahahah unajua alikuwa hataki kusema ukweli kuwa alikuwa ana rudishwa darasa kila leo...
 
Hicho chuo alicho graduate sipati picha akili zao zipo vipi....

Nacho wapendea wachina hawana ubanguzi wa kimama
hahahahaha yani nami najiuliza alikuwa ana somea nini muda wote huo? kama ni kichwa kigumu basi hicho chuo basi kina wataalam...
 
Mkuu Mbona Bashite kamaliza MUCCOBS au? Nadhani kosa la Bashite ni kutumia cheti cha mtu form four the rest mbona katusua vizuri tu, kuanzia astashahada hadi shahada ya kwanza.


MUCCOBs uliza alisoma miaka mingapi huku akibadilisha na kozi kabisa sogea pembeni
 
MUCCOBs uliza alisoma miaka mingapi huku akibadilisha na kozi kabisa sogea pembeni
Lakini mkuu si alimaliza MUCCOBS, au na hilo unakataa. Miaka ile ya 90's tunasoma SUA kuna jamaa yangu alitumia miaka 6 kwa shahada ya miaka minne 4, kuna wakati yanatokea mambo yanakuchelewesha. Ila hukujibu swali langu alafu kama vile umekasirika.
 
Suala ni kumaliza chuo au ni muda aliotumia?Mbona watu kibao wanatumia zaidi ya muda uliowekwa mkuu. Mi niliuliza Jux alisoma level gani na kuna waliouliza mbona katumia muda mrefu? But tumeacha mjadala na tunaongea mengine, jioni njema mkuu

Sorry mkuu, nadhani sikuwa nimekuelewa vizuri.

Ila moja ya watu walioliza kuhusu jamaa kusoma kwa muda mrefu ni Ruttashobolwa ambaye ni Team Bashite, kwa hiyo nikajua probably na wewe uko kule, ndo maana nikam-quote kumuuliza kuhusu muda aliosoma pale Muccobs.

Sikukusoma vizuri kabla ya kuku-qoute kaka, nisamehe.
 
Sorry mkuu, nadhani sikuwa nimekuelewa vizuri.

Ila moja ya watu walioliza kuhusu jamaa kusoma kwa muda mrefu ni Ruttashobolwa ambaye ni Team Bashite, kwa hiyo nikajua probably na wewe uko kule, ndo maana nikam-quote kumuuliza kuhusu muda aliosoma pale Muccobs.

Sikukusoma vizuri kabla ya kuku-qoute kaka, nisamehe.
Tuko pamoja mkuu.
 
Video



fd72e8ed975ec500a7fbdb60c32d1bea.jpg
0c4164da1ffbe1f2914b41d57eaca004.jpg
140a54f82beb140cb45bd85f98f1d419.jpg
08fba2e37f6bbd8986798a47ee10e32a.jpg
967ad2e1ef66e802ce0602e7a086cf03.jpg
1c31178f5224090fc1e8df73fdeba448.jpg
02bd8da704906a9911bc640addfb14cb.jpg



Hongera zake kijana.

Hatimaye kamaliza shule ya mwendokas
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom