Tangu nipo mdogo (form one) nilikua nahang kwenye ofisi ya kuburn cd za muziki. Enzi hizo hamna kudownload nyimbo anakupa DJ na wateja lazima waje kuburn cd audio (siyo mp3) ni 2500.
Kutokana na hiyo ishu niliyokua naifanya wasanii wa kwanza kukutana nao ni kikosi cha mizinga walikua wanawatafuta wanyonyaji wa kazi zao. Wakanikamata huku tunapiga stori na bwana kalapina ngoma mpaka O'bay.
Wasanii wengine waliokuja kibandani ni Amini, jamaa ni mtu wa stori ila anajiona ana potential so ana ego kimtindo.
Fred wa makomando miyeyusho huyu jamaa anamvimbia kila mtu.
Cyril kamikaze enzi hizo hajaanza nyanyua chuma na ngoma inayotamba ni Tupo juu.
Ali Nipishe, aliletwa na mshkaji ambaye kwenye ile ngoma ya My anaonekana akiwa na pull ova ya drafti. Alikua kimya na stori kwa mbali.
Sister P alikuja kutoa kopi cd za nyimbo zake. Muongeaji yuko peace.
Crazy GK mtu poa hana makuu.
Bahat Bukuku na Msama walikua wanamkamata kila mwenye albam ya Dunia haina huruma.
Kama Maimartha Jesse mnamhesabia msanii na yeye alishakuja.
Na wasanii wa kundi wa Khanga Moko laki si pesa nishakutana nao pale kibandani. Miyeyusho kila utachoongea kinabinuliwa ili kimaanishe ishu ya ngono.
Davista, alikuja kutaka tumbanie ngoma yake aliyoimba na Mo Music ili aipeleke EATV.
Wengine wa Singeli (Hawa ndiyo wa miaka hii)
Anyway Tanga, Korogwe Manundu ni sehemu gani kuna pisi kali? Naona kila nilichoambiwa kuhusu Tanga ni uongo. Hamna kazi kali wala nini popo wa hapa wanazurura mpaka mchana.
Msaada