Show ya Barnaba hata bure au waniongeze ghorofa mbili na sheli siendi.
mimi nataja ambazo naweza hudhuria sugu,roma, jay,fid q, lakini wasanii wengine pamoja na baba riz sihudhurii labda nipewe benki na meli afu wakimaliza ku perform niwacharaze bakora ishiriniishirini
Show ambayo ninaweza kwenda ni za Taarabu tu.
Kwani napenda Kuwaangalia akina 'Mchicha Mwiba' na Makalio ya Wanawake wenzangu wanapokata nyonga.
Lol!
Show ambayo ninaweza kwenda ni za Taarabu tu.
Kwani napenda Kuwaangalia akina 'Mchicha Mwiba' na Makalio ya Wanawake wenzangu wanapokata nyonga.
Lol!
Show ya Komba na Hadija Kopa na Asha Baraka siendi!
Wala mechi ya Yanga siendi!
Show ikifanyika dar live au ukumbi wowote wa temeke sihudhurii hata kwa kulipwa
mimi nataja ambazo naweza hudhuria sugu,roma, jay,fid q, lakini wasanii wengine pamoja na baba riz sihudhurii labda nipewe benki na meli afu wakimaliza ku perform niwacharaze bakora ishiriniishirini