Kwa hiyo……!!
Ukisikia Wanaume Km Mabinti Ndo Nyie, Social Media Hazikuja Kwaajr Hyo, Ila Kwakua Msafara Wa Mamba Kenge Pia Wamo, Bac We Endelea Kusindikiza Wenzio[/QUO
Acha kutoa povu basi andika maneno yasomeke, tatizo lenu mlipokuwa mnasoma mwalimu akiwa anafundisha ninyi mnapiga kelele ona sasa nini unaandika hapa.
Diamond kama kingereza hajui kwanini asiongee Kiswahili kama Rais wetu Mh Dk Magufuli?
Wanaochoga sio mimi ni hao wakenya.
Acha upumbafu hapa ni hoja kama hoja huna funga bakuli ...... ulale.