Bado wanamlia timingVipi tena? Bashite anaingizwa kwenye 18 na luqman Maloto? Kesi ni Feb 2023 imefunguliwa vs DCI/DPP.
Bado wanamlia timing
Daudi Bashite au kwa jina la kufoji Makonda, hawezi kukwepa kunywea kikombe cha Jela. Kitakachomuokoa ni kifo tu.Vipi tena? Bashite anaingizwa kwenye 18 na luqman Maloto? Kesi ni Feb 2023 imefunguliwa vs DCI/DPP.
Mi huwa siamini.Daudi Bashite au kwa jina la kufoji Makonda, hawezi kukwepa kunywea kikombe cha Jela. Kitakachomuokoa ni kifo tu.
Kuwa mpole Sakasaka Mao, Iko siku tutakurusisha hapa usome comments zako tenaMi huwa siamini.
Kwa marufuku ya kusafiri US sawa, lakini kunyea debe za jela zetu ni vigumu sawa na ngamia kupenyeza pua lake kwenye tundu la sindano.
Wanalindana sana hao, labda katiba ibadilishwe ama uje utawala mwingine.
Sijawahi kusikia tuhuma "nzuri" za kuweza kumtia matatani zinazoelekezwa kwake.
Sana sana ni blah blah za mafisadi masalia walioshindwa kujiorganize ili kummaliza kama walivyofanya kwa Sabaya.
Tuombe uzima mkuu.Kuwa mpole Sakasaka Mao, Iko siku tutakurusisha hapa usome comments zako tena